Hivi Prof. Jay kwanini tu asiache muziki?

Kama umezoea zile za juma juma dede.huwezi kuelewa hii
 
Kweli mkuu prof jay..astaafu kwa heshima.
Huyu sio yule Jay...wa Chemsha Bongo...Bongo Dar es salaam...Ndio/sio mzee mpaka kikao cha dharura..zali la mentali.
Hana ile tone tena.
Naona koo limemkauka baada ya kufanya kampeni kali za ubunge
 
Mwambieni mfalme wenu kiti changu akifute vumbi prof jay noma sana
 
wimbo mzuri - kazi kazi unahamasisha sana.
huo show za kibabe umejaa majungu majungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…