Hivi Putin hana washauri, katoa hongera, ngoma bado, jameni aibu

Putin anahusiana vipi na maustazi!? Mbona hoja nyingi sana bwana MK254 unahusisha Putin na maustazi? Putin anapigania dini ya uislamu au uislam una nufaika vipi na hii vita? Waislam wanaingiaje?
NB:
Nimeuliza.

Wacha kujizima data na kujifanya hauelewi kinachoendelea...
 

Ameaibika maana anatoa hongera ya kuichukua Bakhmut ilhali bado sana....nyote mnaingia aibu yake.
 
Ameaibika maana anatoa hongera ya kuichukua Bakhmut ilhali bado sana....nyote mnaingia aibu yake.
Aibu ni ile ninayoiona mwenyewe. Siyo ya kuambiwa kwamba ninayo. Sawasawa na njaa. Hiyo itakuwapo wakati mimi mwenyewe naisikia; siyo wewe kunisema kwamba nina njaa wakati mimi nakataa chakula kwamba sina njaa. Wewe unang'ang'ania tu kuniambia nina njaa!
 
Wewe kingereza ndio shida. Partly encycled inaweza hata ikawa kitone tu au ni propaganda tu. Hawa ukraine ni kichwa ngumu. Saa hizi putin kama katoa pongezi watakua wameng'olewa bakhmut.
 
Poleni pro Magharibi watetea wizi Mataifa ya Africa, Ushoga, usagaji n.k
Binafsi Sina tena muda kujadili Bhamut maana Sasa iko chini ya Urusi na wasipoangalia ni Mwendo mbele kwa mbele.
 

Ndio nini umeandika, utakua umekosea njia ustadh
 
Wewe kingereza ndio shida. Partly encycled inaweza hata ikawa kitone tu au ni propaganda tu. Hawa ukraine ni kichwa ngumu. Saa hizi putin kama katoa pongezi watakua wameng'olewa bakhmut.

Partly encirled ya mjini uanita kitone, hivi mbona hamuoni aibu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…