Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,566
shamajengo,
Yaani walikuwa wanaona aibu wao kwa yale yalikuwa yakitamkwa na amri jeshi mkuu!
Yaani walikuwa wanaona aibu wao kwa yale yalikuwa yakitamkwa na amri jeshi mkuu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona michango yao tu humu!Ni analysis ya maoni tu,au niweke poll hapa uone itakavyokuwa?
Niweke poll hapa tuone wangapi wanamuunga mkono kwa hatua alizochukua dhidi ya Corona? Wewe naona uko kwenye mambo ya uchaguzi mimi niko kwenye Corona,hatuwezi kuelewana!Endelea kulamba viatu vya wakubwa wako hapo lumumba!Poll kamili ya kwamba Rais JPM na CCM anakubalika au hapana tunaisubiri Oktoba 2020 na siyo hii yako ya Kijinga uitakayo.
Sky EclatKuna watu huwa hawana amani na watu waliowapigia kura na kuapa kuwaongoza. Huwa hawalali mpaka IGP, Mkuu wa Majeshi na Mkurugenzi wa Usalama wawapigie simu kuwa wameshaamka na hali ni salama.
MzukuluPoll kamili ya kwamba Rais JPM na CCM anakubalika au hapana tunaisubiri Oktoba 2020 na siyo hii yako ya Kijinga uitakayo.
Mkuu kama hujui kitu bora unyamaze aisee..Kinachonishangaza hatujui nia ya huyu jamaa ktk nchi yetu anaonekana kbsa hayuko fit kua president alaf watu kama TISS wanaangalia tu,kweli unaeza mpa uraisi hata kingwendu na Tiss wakaufyata tu.
Wewe jamaa jiongeze basi..Hivi tuna uadui na nani ukiangalia kwa haraka haraka
TigersharkNiweke poll hapa tuone wangapi wanamuunga mkono kwa hatua alizochukua dhidi ya Corona?Wewe naona uko kwenye mambo ya uchaguzi mimi niko kwenye Corona,hatuwezi kuelewana!Endelea kulamba viatu vya wakubwa wako hapo lumumba!
Acha kuhalalisha ujinga! Kwa sasa, adui atusumbuae ni huu ugonjwa. Kwa maoni yako, Rais wetu kitisho chake yeye ni kupokonywa huo URAIS wake tu? Hajali hata Watanzania wengi wakiteketea?Hivi unajua kuwa ndani ya Janga fulani usipokuwa makini na Usalama wako kama Nchi unaweza kutoa mwanya kwa Maadui?
Poll yangu ni juu ya maoni ya wananchi juu ya hatua zilizochukuliwa na JPM kama zinajitosheleza au la!Tigershark
Mimi naendesha polls humu JF
Hadi sasa wapinzani wanaongoza kwa kura asilimia 95 na Jiwe na CCM yake wana asilimia 5 pekee!
mmh kapime AKILI yakoAbsolutely Rubbish.