Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MICHAEL SONAchana na huyo bwegee nchii hii inabaki nyuma Kwa watu mazwazwa kama haya ,,hapo UTAKUTA linashabikia Kwa sababu Tu ni lisukuma,,,, NGOJA SIKU NCHI IKIVAMIWA NA ALSHABABU NDO atawaita Madaktar.na Manes na watalam wengine wa afya
Anachofanya ni kujisafisha asilaumiwe kuwa "approach" yake dhidi ya janga la korona ndo imetufikisha hapa bali anatumia vyombo vya ulinzi na usalama kutafuta mtu wa kulaumiwa.X-bar
Umetoa tathmini ya uhakika kabisa Mkuu
Ubaya huyu jamaa hajiamini na anawachukia mno mabeberu
Hivi bebebu gani alete hizo barakoa zilizopandikizwa ugonjwa wa corona?
Hiyo inaitwa ni pure inferiority complex
Usalama na Afya vinaenda pamoja......Kuna kitu kinaitwa Standby 3.......Hapana sijaoteshwa...........
Bali nimetafakari na kuangalia mantiki ya "kuwasomba" wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama, kwenda kuongelea suala la ugonjwa wa corona, wakati hilo suala ni la kitaalam, ambalo lilifaa kuwaita wataalamu wa Afya nchini
Kwahiyo hapo maadui utapambana nao Kwa vifaru, nadhani sio kila vita solution yake ni vifaru? Je hiyo itakuwa vita ya kibiolojia au kikemikali?Hivi unajua kuwa ndani ya Janga fulani usipokuwa makini na Usalama wako kama Nchi unaweza kutoa mwanya kwa Maadui?
Mkuu nguvu ya Mamba iko kwenye Maji. Hiyo ndiyo nguvu yake pekee iliyobaki.Hapana sijaoteshwa...........
Bali nimetafakari na kuangalia mantiki ya "kuwasomba" wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama, kwenda kuongelea suala la ugonjwa wa corona, wakati hilo suala ni la kitaalam, ambalo lilifaa kuwaita wataalamu wa Afya nchini
CDF alifikishiwa ujumbe wake, na wengine nao wakafikishiwa ujumbe wao. Chuki zitakutes sana mkuu Tigershark.Hali ya usalama haijulikani?Acheni ujinga!Sasa si wangezungumza juu ya usalama,sasa unamuita CDF kwenda kumwambia juu ya kujifukiza sijui na mambo ya chlorine!!!
Shame!
Hali ya usalama haijulikani?Acheni ujinga!Sasa si wangezungumza juu ya usalama,sasa unamuita CDF kwenda kumwambia juu ya kujifukiza sijui na mambo ya chlorine!!!
Shame!
Kama kipi alichofanya kinachostahili kuungwa mkono?? Mi sikioniHakuna anachoweza kukifanya JPM halafu mystery akakiunga mkono. Sio kila jambo lieleweke kwa kila mtu.
Inategemea na maoni ya mtu binafsi, yapo mengi tu mazuri.Kama kipi alichofanya kinachostahili kuungwa mkono?? Mi sikioni
Moyo wangu ni mweupe saa living my life to the fullest! JF sehemu yangu ya burudani tu na kutema nyongo inapobidi! Corona unaita wakuu wa vyombo vya ulinzi bila hata sekta ya afya kuwepo?CDF alifikishiwa ujumbe wake, na wengine nao wakafikishiwa ujumbe wao. Chuki zitakutes sana mkuu Tigershark.
Kumbuka kuwa kuna mtu aliapishwa pale Chato ambaye ni wa wizara ya afya, hivyo aliwawakilisha wenzake wa wizara.Moyo wangu ni mweupe saa living my life to the fullest!JF sehemu yangu ya burudani tu na kutema nyongo inapobidi!Corona unaita wakuu wa vyombo vya ulinzi bila hata sekta ya afya kuwepo?Duuuh hii nini aisee?Ndio yaleyale ya korosho kupeleka jeshi,JPM kila tatizo analiona msumari hivyo analitatua kwa nyundo!
Acha dharau kingwendu Ni bora kuliko jiweKinachonishangaza hatujui nia ya huyu jamaa ktk nchi yetu anaonekana kbsa hayuko fit kua president alaf watu kama TISS wanaangalia tu,kweli unaeza mpa uraisi hata kingwendu na Tiss wakaufyata tu.
Mnamuona asiyekosea,hilo ndio tatizo lenu kubwa!Ba yeye kwa kujua udhaifu wenu ndivyo anazidi kukandamiza tu kadri anavyojisikia!Kumbuka kuwa kuna mtu aliapishwa pale Chato ambaye ni wa wizara ya afya, hivyo aliwawakilisha wenzake wa wizara.
Rais anaweza kuongelea kilimo hata akiwa uwanja wa taifa, anaweza kuongelea uvuvi akiwa kazungukwa na watu wa sekta ya benki. Rais ni mamlaka kuu na ya juu kabisa, hivyo hawezi kuwa na mipaka ya kuongea jambo lolote lile, kwani kila jambo ndani ya Tanzania lipo chini ya uongozi wake.
Kukosea hakuna asiyekosea, lakini mamlaka yake ipo pale pale, udhaifu ni sifa ya binadamu, ndio maana tunapiga magoti misikitini na makanisani.Mnamuona asiyekosea,hilo ndio tatizo lenu kubwa!Ba yeye kwa kujua udhaifu wenu ndivyo anazidi kukandamiza tu kadri anavyojisikia!