Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Zitto anapong'ang'ani sheria itungwe ili Rais ashtakiwe huwa anamaanisha jambo muhimu sana.Huyu jamaa atakapotoka madarakani ni vema akashtakiwa kwa uvunjaji wa sheria.The old boy is a savage!ππππππTena nyumbani mwake? Hayo ni matumizi mabaya ya Kodi zetu
JPM ni binadamu kama mimi na wewe lakini yapo mengi mema anayoyafanya. Buku saba hizo ni hadithi za mitaani hakuna kitu kama hicho.
Lakini hao tizi wapo wangapi na sisi wenye nchi tupo wangapi? Nadhani tunapaswa kujilaumu wenyewe,yaani mtu tumuajiri wenyewe,tumlipe wenyewe harafu kumfukuza mbali pale tunapoona hameet expectations tushindwe,Basi sisi ni watu wa ajabuTizi imejaa watoto wa uvccm wanaochukuana tu bila professionalsim,wangekuwepo hata wasiojulikana wasingekuwepo,hata nchi isingechezewa wapo kwa ajili ya kuwashughulikia wapinzani tu.
Harafu eti anaomba asamehewe madeni wakati hata kile kidogo kilichopo anakitapanya hovyo.Bure kabisa huyuZitto anapong'ang'ani sheria itungwe ili Rais ashtakiwe huwa anamaanisha jambo muhimu sana.Huyu jamaa atakapotoka madarakani ni vema akashtakiwa kwa uvunjaji wa sheria.The old boy is a savage!ππππππ
Mkuuu mbavu zangu please hahahahaa,kingwendu ana uafadhali?Acha dharau kingwendu Ni bora kuliko jiwe
He is so incompetentMoyo wangu ni mweupe saa living my life to the fullest!JF sehemu yangu ya burudani tu na kutema nyongo inapobidi!Corona unaita wakuu wa vyombo vya ulinzi bila hata sekta ya afya kuwepo?Duuuh hii nini aisee?Ndio yaleyale ya korosho kupeleka jeshi,JPM kila tatizo analiona msumari hivyo analitatua kwa nyundo!
Mwaka huu lile zindiko lao la kichawi lipumbazao akili za watu halijazungushwa sababu ya covid huenda watu watakuwa na akiliLakini hao tizi wapo wangapi na sisi wenye nchi tupo wangapi? Nadhani tunapaswa kujilaumu wenyewe,yaani mtu tumuajiri wenyewe,tumlipe wenyewe harafu kumfukuza mbali pale tunapoona hameet expectations tushindwe,Basi sisi ni watu wa ajabu
Tatizo lake alipofundishwa historia ya darasa la tatu kwamba wakoloni walitunyonya sana halafu hautafuti ukweli eti anawachukia wazungu.Aache ujinga wa kulaumu watu kwa makosa yake.Harafu eti anaomba asamehewe madeni wakati hata kile kidogo kilichopo anakitapanya hovyo.Bure kabisa huyu
Tabia za kisukuma hizo Nyerere aliona mbali Sana kuonya wao kwao bifu na ligi uchukua 90% ya daily life yao.Wacha tu nibakie wa mwisho kuamini kama huyo mtawala wako ana jema lolote alilowahi kututendea kwa nafasi yake tangu Oktoba 2015 hasa sisi watumishi wa umma.
Zaidi tu ya uonevu, kutishiana nyau, kujali zaidi wapambe wake, kutudhulumu maslahi yetu, kupenda kusifiwa na kutukuzwa, nk.
Hivi unaweza ukawa comfortable kabisa Kuongea na Watu wa Afya kama hali ya Usalama haijulikani? Pungezeni kuwa Wapuuzi.
kilichosahaulika nikuwa wakati huu bunduki ,mabomu washa washa vinatafuta barakoa,Sanitizer na viko busy kusikiliza wataalamu.mh umeoteshwa ukaamua uje haraka uandike
Kada zipo nyingi zaidi ya utumishi wa umma. Wewe ukilia awamu hii kuna wenye kucheka mpaka jino la mwisho likaonekana.Wacha tu nibakie wa mwisho kuamini kama huyo mtawala wako ana jema lolote alilowahi kututendea kwa nafasi yake tangu Oktoba 2015 hasa sisi watumishi wa umma.
Zaidi tu ya uonevu, kutishiana nyau, kujali zaidi wapambe wake, kutudhulumu maslahi yetu, kupenda kusifiwa na kutukuzwa, nk.
Wafanyakazi hewa na vyeti feki ajagusa kabisa majeshini isipokuwa kwa watumishi wengine hizi si ndo dabo standard zenyewe hizi.Ni kiumbe muoga au ukipenda muite "joga"!Anaogopa askari kuliko maelezo.Anawaongeza posho na kuwapendelea kuliko watumishi wengine.Ndiyo ujue ni jamaa joga.Inaonekana kijijini kwao wakiona polisi wanajifungia mabandani mwao.Hahahahahaaaaa!
Ni wapambe na wanufaika walio mezani lkn wengi wako hoi. No nyongeza,no motisha,no kupanda madaraja Hadi miradi ikamilike ambayo haujulikani lini even 20 yrs.Vipi Hawa wanaostaafu leo si umewanyima haki zao za kikatibaKada zipo nyingi zaidi ya utumishi wa umma. Wewe ukilia awamu hii kuna wenye kucheka mpaka jino la mwisho likaonekana.
Kwa manufaa ya umma pia ili kukutumikia wwe vyema