Hivi rais Samia amerejea nchini au bado anakongamana ughaibuni

Hivi rais Samia amerejea nchini au bado anakongamana ughaibuni

kmbwembwe

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2012
Posts
10,892
Reaction score
7,780
Nauliza tu wandugu.
Tangu enzi ya awamu ya jk nilianzisha utaratibu binafsi kuandika tarehe rais wa jamhuri akiondoka nchini kwenda nje na tarehe akirudi. Hii iliniwezesha kuona rais kama anasafiri wapi na kama anasafiri sana na kwa faida kama ipo.
Kwa wale wanajua rais Samia kama karudi please.🙏
 
Nauliza tu wandugu.
Tangu enzi ya awamu ya jk nilianzisha utaratibu binafsi kuandika tarehe rais wa jamhuri akiondoka nchini kwenda nje na tarehe akirudi. Hii iliniwezesha kuona rais kama anasafiri wapi na kama anasafiri sana na kwa faida kama ipo.
Kwa wale wanajua rais Samia kama karudi please.🙏
Alirudi. Hujamuona hapa akiwa na wajomba zake?
20230128_165416.jpg
 
Halafu sasa hivi anaondoka kimya kimya na kurudi kimya kimya ili msihesabu masaa yaa angani kwa mwaka
 
Nauliza tu wandugu.
Tangu enzi ya awamu ya jk nilianzisha utaratibu binafsi kuandika tarehe rais wa jamhuri akiondoka nchini kwenda nje na tarehe akirudi. Hii iliniwezesha kuona rais kama anasafiri wapi na kama anasafiri sana na kwa faida kama ipo.
Kwa wale wanajua rais Samia kama karudi please.🙏
Vasco da Gama
 
Back
Top Bottom