Alirudi. Hujamuona hapa akiwa na wajomba zake?Nauliza tu wandugu.
Tangu enzi ya awamu ya jk nilianzisha utaratibu binafsi kuandika tarehe rais wa jamhuri akiondoka nchini kwenda nje na tarehe akirudi. Hii iliniwezesha kuona rais kama anasafiri wapi na kama anasafiri sana na kwa faida kama ipo.
Kwa wale wanajua rais Samia kama karudi please.π
Vasco da GamaNauliza tu wandugu.
Tangu enzi ya awamu ya jk nilianzisha utaratibu binafsi kuandika tarehe rais wa jamhuri akiondoka nchini kwenda nje na tarehe akirudi. Hii iliniwezesha kuona rais kama anasafiri wapi na kama anasafiri sana na kwa faida kama ipo.
Kwa wale wanajua rais Samia kama karudi please.π
Ona hawa wafadhili na wajomba wanavyojivunia mavazi yao. Vigogo wetu ni lazima waige mitindo ya watawala wetu? Tusiwe watumwaAlirudi. Hujamuona hapa akiwa na wajomba zake?View attachment 2499535