Hivi Rais Samia umekosa kabisa watu wapya wa kuleta mawazo mapya kwenye Taasisi/ Uteuzi wa Bodi una walakini sana

Hivi Rais Samia umekosa kabisa watu wapya wa kuleta mawazo mapya kwenye Taasisi/ Uteuzi wa Bodi una walakini sana

NewPage

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2021
Posts
1,321
Reaction score
2,106
Eti umemrudisha Iyombe kuwa Mwenyekiti wa Mfuko wa PSSSF. Hivi kweli kabisa mmekosa watu wazuri wenye mawazo ya kuukwamua huo Mfuko. Huyu Iyombe ndiyo chanzo cha kuua huo Mfuko tangu akiwa Mwenyekiti wa Bodi ya PSPF.

Kuna wakati JPM alishaamua kumtoa lakini basi tu akaona bora amalizie muda wake. Inakuwaje tena mtu huyu unamrudisha? Kwani ana lipi jipya huyu mtu huyu!

Kwa sasa hivi yanatakiwa mawazo mapya kuhusu uendeshaji wa majukumu ya kiserikali. Wanatakiwa vijana ndiyo wawe wenyeviti wa Bodi hizi za Serikali ili waangalie Taasisi kwa mtazamo wa mbali.

Sio hilo tu - kwa sasa Bodi nyingi sana zimemaliza muda wake Zaidi hata ya miaka miwili Taasisi hazina Bodi lkn Mh. Rais ameacha tu hilo liendelee!

Hata kwenye ajira pia kuna Taasisi zinahitaji kuziaba nafasi za watendaji wao lakini kumekuwa na changamoto kubwa sana kwenye mambo ya upekuzi. Majina yanapelekwa kwa ajili ya upekuzi halafu eti majibu yanatoka baada ya miaka hata mitatu.

Kuna Taasisi ilipata taarifa ya mtu aliyefanya usaili kwao kuwa mtu aliyetakiwa kuajiriwa pale ni Fulani na badala kumbe huyo alikuwa ashafariki akiwa amesubiri zaidi ya miaka mitatu.

Mbona nafasi ambazo mnakuwa na maslahi nazo mnaziziba tu kiurahisi kabisa na tena bila hata kufanya vetting. Rais kemea hili jambo kwani linabeba upendeleo wa hali ya juu!
 
katiba imempa mamlaka kuteua vile aonavyo, kiufupi. sisi tutakaoona anarudia walewale tusisahau hilo.
 
Kwa katiba hii rais ni kama Mungu, akiamua anaweza kuwaua vijana wote na sishitakiwe popote.
 
Eti umemrudisha Iyombe kuwa Mwenyekiti wa Mfuko wa PSSSF. Hivi kweli kabisa mmekosa watu wazuri wenye mawazo ya kuukwamua huo Mfuko. Huyu Iyombe ndiyo chanzo cha kuua huo Mfuko tangu akiwa Mwenyekiti wa Bodi ya PSPF.

Kuna wakati JPM alishaamua kumtoa lakini basi tu akaona bora amalizie muda wake. Inakuwaje tena mtu huyu unamrudisha? Kwani ana lipi jipya huyu mtu huyu!

Kwa sasa hivi yanatakiwa mawazo mapya kuhusu uendeshaji wa majukumu ya kiserikali. Wanatakiwa vijana ndiyo wawe wenyeviti wa Bodi hizi za Serikali ili waangalie Taasisi kwa mtazamo wa mbali.

Sio hilo tu - kwa sasa Bodi nyingi sana zimemaliza muda wake Zaidi hata ya miaka miwili Taasisi hazina Bodi lkn Mh. Rais ameacha tu hilo liendelee!

Hata kwenye ajira pia kuna Taasisi zinahitaji kuziaba nafasi za watendaji wao lakini kumekuwa na changamoto kubwa sana kwenye mambo ya upekuzi. Majina yanapelekwa kwa ajili ya upekuzi halafu eti majibu yanatoka baada ya miaka hata mitatu.

Kuna Taasisi ilipata taarifa ya mtu aliyefanya usaili kwao kuwa mtu aliyetakiwa kuajiriwa pale ni Fulani na badala kumbe huyo alikuwa ashafariki akiwa amesubiri zaidi ya miaka mitatu.

Mbona nafasi ambazo mnakuwa na maslahi nazo mnaziziba tu kiurahisi kabisa na tena bila hata kufanya vetting. Rais kemea hili jambo kwani linabeba upendeleo wa hali ya juu!
Kwani yeye anayo mawazo mapya hadi awaone watu wapya?
 
Eti umemrudisha Iyombe kuwa Mwenyekiti wa Mfuko wa PSSSF. Hivi kweli kabisa mmekosa watu wazuri wenye mawazo ya kuukwamua huo Mfuko. Huyu Iyombe ndiyo chanzo cha kuua huo Mfuko tangu akiwa Mwenyekiti wa Bodi ya PSPF.

Kuna wakati JPM alishaamua kumtoa lakini basi tu akaona bora amalizie muda wake. Inakuwaje tena mtu huyu unamrudisha? Kwani ana lipi jipya huyu mtu huyu!

Kwa sasa hivi yanatakiwa mawazo mapya kuhusu uendeshaji wa majukumu ya kiserikali. Wanatakiwa vijana ndiyo wawe wenyeviti wa Bodi hizi za Serikali ili waangalie Taasisi kwa mtazamo wa mbali.

Sio hilo tu - kwa sasa Bodi nyingi sana zimemaliza muda wake Zaidi hata ya miaka miwili Taasisi hazina Bodi lkn Mh. Rais ameacha tu hilo liendelee!

Hata kwenye ajira pia kuna Taasisi zinahitaji kuziaba nafasi za watendaji wao lakini kumekuwa na changamoto kubwa sana kwenye mambo ya upekuzi. Majina yanapelekwa kwa ajili ya upekuzi halafu eti majibu yanatoka baada ya miaka hata mitatu.

Kuna Taasisi ilipata taarifa ya mtu aliyefanya usaili kwao kuwa mtu aliyetakiwa kuajiriwa pale ni Fulani na badala kumbe huyo alikuwa ashafariki akiwa amesubiri zaidi ya miaka mitatu.

Mbona nafasi ambazo mnakuwa na maslahi nazo mnaziziba tu kiurahisi kabisa na tena bila hata kufanya vetting. Rais kemea hili jambo kwani linabeba upendeleo wa hali ya juu!
Toka lini Rais wa nchi akapatikana kwa kudra za Mungu? Nawashangaa mnao muita huyo nae ni Rais,ila mna moyo Sana. Hata Rais wa Yanga hapatikani kwa kudra za mwenyezi Mungu.
 
Toka lini Rais wa nchi akapatikana kwa kudra za Mungu? Nawashangaa mnao muita huyo nae ni Rais,ila mna moyo Sana. Hata Rais wa Yanga hapatikani kwa kudra za mwenyezi Mungu.
DU!
 
Mfuko upo hoi cha ajabu raisi anamleta mtu ambae hana mawazo mapya zaidi ya kuja kuharibu tena!

Ndugu zangu 2025 ni wakati wa kuwa na mtu makini, mzalendo na anaewajali watu wote, ona wastaafu wanavyotaabika kupata mafao yao wakati walikatwa walipokuwa kazini.
 
Back
Top Bottom