Ah umenikumbusha huyo, yupo kwenye nyuzi kadhaa na akiamua kuingia humo ndani anaweza kujibu kila mtu fasta fasta tena kwa comments zenye maneno mengi utadhani anaongea kwa kuandikaKuna moja anaitwa Leejay49 anawahi kucomment kila nkufungua thread nakuta comment yake
.Inashangaza
Mpe sasa maua yake,jembe langu raraa rereeHata Extrovert na Joseverest wakifanya kolabo sidhani kama wanaweza kugusa hizi anga zake.
Ni kama vile huyu raraa reree ni roboti kasetiwa ku like post
Ila naona na moto wake wa ku comment sio wa kitoto,
Aahaaaaa,mrudishe mkuuNgoja nimrudishe yule jamaa aliekua anatoa dislike kwenye kila comment..
Jf person of the year 2024 KilimbatzzJF person of the year 2017 Joseverest
JF person of the year 2022 Mpwayungu Village
JF person of 2023 raraa reree
Mpwayungu Village the donJF person of the year 2017 Joseverest
JF person of the year 2022 Mpwayungu Village
JF person of 2023 raraa reree
Subiri mkwepu jr alete mrejeshoHata Extrovert , Joseverest na GENTAMYCINE wakifanya kolabo sidhani kama wanaweza kugusa hizi anga zake.
Ni kama vile huyu raraa reree ni roboti kasetiwa ku like post
Ila naona na moto wake wa ku comment sio wa kitoto, kwa leo tu pana comments kama 40 hivi, likes ndio usiseme, ni fayaaa!!!
nawe unakuja kwa speed kali mno aisee, si wa kukubeza hata kidogo maana hili jina nakutana nalo sana pia.Mpwayungu Village the don