Hivi raraa reree hizi likes unazogawaga uzi mzima unatumia BOT au nini?

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ilifika muda nikawa najiuliza,huyu jamaa ananifatilia nini?Maana karibia kila comment yangu ka-like....ila nilivyokuja kuangalia kwa makini nikagundua ni comments za watu wengi.Apo roho yangu ikatulia.Mwamba apewe maua yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…