Mundele Makusu
JF-Expert Member
- Sep 28, 2021
- 2,488
- 3,481
Kwani kuna shido akilike post bila yeye kupost ...Ni maamuzi tu ya mtu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha nmecheka jamani 😂😂😂😂😂😂😂😂wazee wa quba sasawe mbona umening'wang'wazua na sisemi! tena wewe umewaambia member wote kuwa tutalimwa..🤣
your welcomeHahahaha nmecheka jamani 😂😂😂😂😂😂😂😂wazee wa quba sasa
Humu hata ukiweka nukta watakufuatilia tu ufafanuwe.Kwani kuna shido akilike post bila yeye kupost ...Ni maamuzi tu ya mtu
Kwani kuna shido akilike post bila yeye kupost ...Ni maamuzi tu ya mtu
Amekomenti kwenye uzi wa madada poa
Amesha-like. Au ni robot?
Internet or Online SurveillantAisee huyu jamaa anaongoza kwa kumwaga like..
Mimi kila nikifungua notification ni like zake kama sio za yeye ni min -me
Hadi nilikuwa nahisi ananifuatilia
Nilikua natamani ila ndo hvo nakhofia Evelyn Salt 😂😂😂😂umeachiliwa sasa
Na wamesha like tsyariMnaongoza kwa kulike
kwanini yeye😂Nilikua natamani ila ndo hvo nakhofia Evelyn Salt 😂😂😂😂
May be a special spyware for internet SurveillanceApplication anayotumia huyo jamaa ni kiboko...
Mkuu kwanini huwa unitenganishi hata kwa alama ya / stroke na hawa kataa ndoa kina dronedrakeusalama wa taifa huyu anafuatilia tunachoandika raraa reree we si chawa kweli Poor Brain dronedrake Hope urassa