Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 19,697
- 15,497
....duNa mm kalaga baho mwemyew hapahapa jf. Na leo ndo naisimika rasmi, mbele yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
....duNa mm kalaga baho mwemyew hapahapa jf. Na leo ndo naisimika rasmi, mbele yako
Kama kawa mshuaWe jamaa vipi
Kwamba hajajenga nyumba ya kuishi au hajapenda kujenga nyumba ya kuishi au kaamua tu kuishi mjini kati na kuacha nyumba aliyojenga kwa ajili ya uwekezaji...Ndo huyohuyo sahiz anakaa pale posta nyuma ya JNICc analipa 800k kodi ya nyumba kwa mwezi
Hauna baya Ticha, uko humble sana.Ebhanaeee kichwa hiki hiki niwe mwalimu wa chuo [emoji38]
Yani ana heka 300 pale mkuranga, watoto wa Muhas wote simu yake moja tu hupeleki CV wala nakala ya cheti chochote.Kwamba hajajenga nyumba ya kuishi au hajapenda kujenga nyumba ya kuishi au kaamua tu kuishi mjini kati na kuacha nyumba aliyojenga kwa ajili ya uwekezaji...
Jamaa kashatoboa kitambo huyo, NGO yake pekee inamuingizia maokoto ya kufa mtu kutoka kwa Dona..
Nimekubali 😄Yani ana heka 300 pale mkuranga, watoto wa Muhammad wote simu yake moja tu hupeleki CV wala nakala ya cheti chochote.
Nyumba tjnajenga mm na wewe ya vyumba viwili ili tutafte wenzetu ambao hawana tuwanange kuwa maskini. Nyumba kwa tajiri sio kipaumbele mkuu, hana uoga wa kesho. Ndo mana raraa reree hana njaa na hana kinyongo, hana jealous ,hana Envy. Ndo mana anatembezaga like tu
Anastahili sana kuwa hivyo, kapambana na NGO yake sana miaka 10 sasa.Yani ana heka 300 pale mkuranga, watoto wa Muhammad wote simu yake moja tu hupeleki CV wala nakala ya cheti chochote.
Nyumba tjnajenga mm na wewe ya vyumba viwili ili tutafte wenzetu ambao hawana tuwanange kuwa maskini. Nyumba kwa tajiri sio kipaumbele mkuu, hana uoga wa kesho. Ndo mana raraa reree hana njaa na hana kinyongo, hana jealous ,hana Envy. Ndo mana anatembezaga like tu
Tulia tukupe maua yako[emoji23][emoji23][emoji23]Nimekubali [emoji1]
C#/_o clan moja. Yule naibu waziri pale mjengoni Hamis ni baba ake mdogo. Na hajawah kumuomba hata miaAnastahili sana kuwa hivyo, kapambana na NGO yake sana miaka 10 sasa.
Afurahie matunda ya jasho lake
Non❌Non of your business
AsanteNon❌
None✅
mimi nilijua kwangu tu.Kuwa off wiki ambazo walevi wenzio ndo wamebananika kazini shida sana.
Ngoja nipoteze muda kuongelea hili swala la raraa reree
Huyu ndugu yetu ana kiwanda cha likes, hebu nipe siri na mm niwe natoa likes hvo, au jamaa ni BOT?
Inawezekana na yupo kwenye tafiti maana hawezi ku like nyuzi nyingi kwa dakika moja lazima itakua ni Application tu...May be a special spyware for internet Surveillance
AiseeeHumu JF ukiangalia vizuri utagundua ukiondoa mods humu, ID ya kweli ni hii yangu halafu ngine zote zilizobaki ni za mtu mmoja au wanne.
Huu ni moto wa gesi, nawajua kina Extrovert , Joseverest , Leejay49 , GENTAMYCINE , mkwepu jr na mshamba_hachekwi lakini huyu wa kuitwa raraa reree ni next level.
Ukiweka uzi ama comment yako usiku sana ukaona hakuna LIKES basi usihofu.. subiri raraa reree akiamka ata-like.
Na moto wake wa ku comment sio wa kitoto, kwa leo tu pana comments kama 40 hivi, likes ndio usiseme, ni fayaaa!!!
chukua maua yako![]()
🤣hv huwa anacomment pia?![]()