Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawasawaMbona huwa ana comment na hata kuanzisha uzi.
Sema tu ni mtu asiyekuwa na chuki na yeyote yeye kila mtu kwake ni rafiki.
Duh hii sikuifahamu.maana huko nyuma palikua na madai kwamba mtu akikutumia msg private kule,ukijibu basi ana uwezo wa kukufahamu wewe ni nani
KWA AMBAO HAMJAWAHI KUMUONA RARAA REREE, NENDENI CHUGA STENDI KUU, ULIZIA "RARAA" chap utaoneshwa ,utaskia "rara raraa ora ora oraa jombaa'Wakuu,ni muda Sasa nimekua nikipata likes za bwana raraa reree,Kuna faraja Fulani kupata like,kwamba umeandika kitu chenye maana,lakini raraa reree hu-like comment yoyote hata ya hovyo,na zaidi hu-like comment zote kwenye nyuzi zote,hili ni gumu kwa kawaida
Isije kuwa raraa reree ni mtu Fulani wa kitengo mwenye software inayomsaidia kupata taarifa zetu kwa ku-like kila comment kwenye kila Uzi,maana huko nyuma palikua na madai kwamba mtu akikutumia msg private kule,ukijibu basi ana uwezo wa kukufahamu wewe ni nani
Mwisho,sijawahi ona comment yake huyu bwana
Mwamba katia guu asee, noma sanararaa reree na hii ata like 😄 🤣 😂