Labella
JF-Expert Member
- Jun 26, 2024
- 1,949
- 4,759
Punguza shoboHujaulizwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguza shoboHujaulizwa
Tayari kitamboNa hii ata like
😆🤣🤣 Daah aseePunguza shobo
Kila Uzi hu-like,Hadi usiku mwingi yupo jukwaaniMbona huwa ana comment na hata kuanzisha uzi.
Sema tu ni mtu asiyekuwa na chuki na yeyote yeye kila mtu kwake ni rafiki.
Robot wa bungen anaongea sembuse comment hahahaaLeo kakoment
Mbona kama una hoja ya msinginilimpendaga nka.sifia pawpaw enzihizo alivyokja Nitendaaa nkasema here yamekuwahayo humu nkakukana kwa mda
HahahaHuyo jamaa ni jini. Binadamu wa kawaida huwezi like nyuzi zote na comments zote hapa JF
Usikilizwenilimpendaga nka.sifia pawpaw enzihizo alivyokja Nitendaaa nkasema here yamekuwahayo humu nkakukana kwa mda
Sielewi anamudu vipi hiloHuyo jamaa ni jini. Binadamu wa kawaida huwezi like nyuzi zote na comments zote hapa JF
Mimi ni mtuHuyo jamaa ni jini.
Ame like na hapa....Wakuu,ni muda Sasa nimekua nikipata likes za bwana raraa reree,Kuna faraja Fulani kupata like,kwamba umeandika kitu chenye maana,lakini raraa reree hu-like comment yoyote hata ya hovyo,na zaidi hu-like comment zote kwenye nyuzi zote,hili ni gumu kwa kawaida
Isije kuwa raraa reree ni mtu Fulani wa kitengo mwenye software inayomsaidia kupata taarifa zetu kwa ku-like kila comment kwenye kila Uzi,maana huko nyuma palikua na madai kwamba mtu akikutumia msg private kule,ukijibu basi ana uwezo wa kukufahamu wewe ni nani
Mwisho,sijawahi ona comment yake huyu bwana
raraa reree chukua like 👍 hiiWakuu,ni muda Sasa nimekua nikipata likes za bwana raraa reree,Kuna faraja Fulani kupata like,kwamba umeandika kitu chenye maana,lakini raraa reree hu-like comment yoyote hata ya hovyo,na zaidi hu-like comment zote kwenye nyuzi zote,hili ni gumu kwa kawaida
Isije kuwa raraa reree ni mtu Fulani wa kitengo mwenye software inayomsaidia kupata taarifa zetu kwa ku-like kila comment kwenye kila Uzi,maana huko nyuma palikua na madai kwamba mtu akikutumia msg private kule,ukijibu basi ana uwezo wa kukufahamu wewe ni nani
Mwisho,sijawahi ona comment yake huyu bwana
Sizani kama hana chuki na Malaika mtoa roho eti mkuu raraa rereeMbona huwa ana comment na hata kuanzisha uzi.
Sema tu ni mtu asiyekuwa na chuki na yeyote yeye kila mtu kwake ni rafiki.