Hivi Rita L alipewa Mirathi baada ya Jemedari kuitwa na Mungu au alichinjiwa baharini?

Ben alikua master sana....
Mwishoni alikua anakaa upanga
Mama anakaa masaki....!

Yule mu old Moshi ni mwisho wa matatizo....

Alichonifurahisha mzee alikua anapiga remmy Martin....
Anapiga piga weeee then baadae anaita houseboy....

Unaskia kalete kinywaji changu haraka...jamaa anaenda chaap....style ya mitaa ya chang'ombe...!
 
Weeh hana upole wowote
Alisema huyu binti ni afisa kweli?anatafuta file dk 10?
Wakati mtafuta faili siyo Mimi[emoji23][emoji1787]
Nilitetemeka nikajua ndo naenda kutemeshwa bungo[emoji1787]si wajua kitete Cha kuanza kazi [emoji1787][emoji23]
Hiyo ni kada yake, alikuwa katibu muhtasi enzi zake.

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Rita mlaki au mna macode yenu wazee wa sisistime?
 
Asante Mheshimiwa
 
Ulivyo mapepe sana kama kama nakuona kwenye corridor za Lumumba na hicho kijora,dakika 30 nyingi ushakula kichwa,tena usindikizwe na wifi Yako Lamomy yeye avae kijora Cha njano
😂😂😂 wifi yangu hana mbambamba dk kashapewa namba na mzee wa anwani za makazi au yule mvaa scarf ya Nchi
Wifi mama k fanya kweli bas me naandaa nguo za rangi ya chama 🤣🤣🤣
 
Ata ningekua Mimi aisee[emoji29]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…