Msimcharaze pulizi, anatupatia ubuyu wa old school🤣🤣🤣Kama wewe ni me ucharazwe viboko,uandishi wako umekaa kimbeambea na uchochezi.
Mbn namuonaga mpolee duuh..... Wachaga hpn [emoji119][emoji1787][emoji23]aliambulia mafao yake toka kwa Ben kabla hajafa
Anna hajampa hata thumni
Kwanza anaanzaje kumface Ana?
Ana ni mkali aiseeh alikujaga ofcn enzi hizo Niko junior,boss akanambia kalete jalada lake,sa si mke wa raisi mstaafu, kwahiyo wakijaga maofisini hao,afisa unageuzwa secretary na masjala ghafla ,Sasa nimefika masjala,dada wa masjala ananizingua,nikasubiri kama dk 10,ndo napeleka jalada,alooh aliniwashia Moto,kidogo Nilie,boss akampoza, akamwambia ndo anaanza kazi,katoka chuo juzi msamehe tu[emoji1787]
Nimebaki nashangaa, kumbe na wenzetu wananogewa na michepuko? Dah...nikimuangalia yule mwanaye mamaa ya madini...Kumbe haya mambo ya kuhonga vyeo yalianza kitambo🤣
toa pussy🙂Msimcharaze pulizi, anatupatia ubuyu wa old school🤣🤣🤣
Nilichojifunza vyeo vya kyuuup..i havijaanza Jana....Hivi humu Jf hamna MNEC mmoja na mimi nijiweke nihongwe hata u DC?
Weeh hana upole wowoteMbn namuonaga mpolee duuh..... Wachaga hpn [emoji119]
Nitatoa Shoga as long haondoki nayo wala haipigi muhuri🤣🤣🤣 bado wa kumpa anihonge cheo🤣🤣🤣toa pussy🙂
Ndo tatizo letu, mtu kufariki haimaanishi kuwa mabaya au mema yake yasitajwe, Ben alikuwa kiongozi wa nchi ni role model!Ben amelala
Sidhani kama ni hekima kuanza kujadili haya.
Hatujifunzi lolote hapo maana sisi wanaume tunaongoza kwa infidelity, kwa hiyo mtunzie heshima Hayati wetu
Za ndaaaani sana zinasema mzee alizira kumpiga pipe bibie, na badala yake akaendelea kutafuna watoto wadogo wakimsuuzia rungu kama kawa.Ila uzeeni wakaishi wote wakaleana, hadi BM anafariki wanaishi pamoja.
Ooh!Alizaa na aliyetajwa
Mpe mwenezi makondakta upate shavu fastaa😂Nitatoa Shoga as long haondoki nayo wala haipigi muhuri🤣🤣🤣 bado wa kumpa anihonge cheo🤣🤣🤣
Wakamsahaulisha kujenga kwao Masasi.BM na Wachaga!!
Nafikiri Anna ndie alie anza kumzingua BM hata ikapelekea wakatengana na akaenda kuishi na mwanaume mwingine na wakazaa.
Sasa wakati BM anapigiwa mchepuo wa kuingia ikulu, ndipo Mchonga aliamua kwasuluhisha kwa kumwambia BM kwamba ikulu ni patakatifu na haiwezekani tukawa na president mseja.
Baada ya hapo kwa shinikizo la Mchonga BM na Anna wakarudiana, lakini kiukweli BM hakua na upendo tena na Anna.
Pole sana, wakati mwingine ukali huwa ni hulka ya mtu binafsi.Weeh hana upole wowote
Alisema huyu binti ni afisa kweli?anatafuta file dk 10?
Wakati mtafuta faili siyo Mimi😂🤣
Nilitetemeka nikajua ndo naenda kutemeshwa bungo🤣si wajua kitete Cha kuanza kazi 🤣😂
🤣🤣🤣🤣Ngoja nikuulize Kwa dalali flani hivi huwa anajua mambo ya wa NEC Countrywide eti msaidie Many KMsimcharaze pulizi, anatupatia ubuyu wa old school🤣🤣🤣
Nilichojifunza vyeo vya kyuuup..i havijaanza Jana....Hivi humu Jf hamna MNEC mmoja na mimi nijiweke nihongwe hata u DC?
Huu uzi hauna hata codes sijsupenda.
Tunawaumiza familia zao
Duuh polee ndo mwanzo wa kazii.....Weeh hana upole wowote
Alisema huyu binti ni afisa kweli?anatafuta file dk 10?
Wakati mtafuta faili siyo Mimi[emoji23][emoji1787]
Nilitetemeka nikajua ndo naenda kutemeshwa bungo[emoji1787]si wajua kitete Cha kuanza kazi [emoji1787][emoji23]