raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Nilikuwa nataka kusikia unasemaje kuhusu suala hili japo sio kwa kuusemea uzi uondoleweMkuu raraa reree , asante kuni tag, mode please do the needful kutuondolea haya mauchafu kwenye jukwaa letu hili adhimu!.
Ni dhambi kwa Mungu kumchafua mtu ambaye hawezi kujitetea!, unless mtoa hoja ndiye alikuwa anamshikia mguu!.
P
Hii ya Ardhi nakubaliana na wewe Mkuu...Kati ya mawaziri wa zamani wenye nyumba nyingi na maeneo ya Hadhi huyu mama yumo aisee...kama mkapa ndio aliwezesha yote hayo basi kongole kwake huyu mama maana alijituma vizuri kuhakikisha uzee wake hapati tabu .
Mosmoss.....😊Aiiiiiiii!!!!
Umeandika kama Mange Ushi...
Siyo kwa Umbea huu[emoji3]
Kumbe nawe huwa una commenting? Najuaga we ni mzee wa thanks tu humu JF.Nilikuwa nataka kusikia unasemaje kuhusu suala hili japo sio kwa kuusemea uzi uondolewe
Dada zetu mmewateka viongozi wengi sana!!Haihusu
Hamna tunaongea kama wapenzi na wazaziHahaha...........unajifagilia Mkuu, kwamba wewe upo tofauti na wale wengine
Usikute hadi Shemeji nyumbani unam-command 😅
Good!...Nilikuwa nataka kusikia unasemaje kuhusu suala hili japo sio kwa kuusemea uzi uondolewe
Hapo sawaHamna tunaongea kama wapenzi na wazazi
Ila Hakuna wakumcomand mwenzie🙏
Anapendaga nyuzi za ngono huyu...ndio huwa ana commentKumbe nawe huwa una commenting? Najuaga we ni mzee wa thanks tu humu JF.
Weeh thubutuuuWanawake hatunaga mambo ya michepuko, Kwanza tukipataga vyeo na nyegezi zinakata.
Hahaaaaa, sijawahi mfuatilia mkuu.Anapendaga nyuzi za ngono huyu...ndio huwa ana comment
kabisa..mwanamke ukiwa na hela hamu hamu sa kijinga zinajifia..uwe huna sasa😆Wanawake hatunaga mambo ya michepuko, Kwanza tukipataga vyeo na nyegezi zinakata.
Na bado hatujamaliza[emoji1787]Dada zetu mmewateka viongozi wengi sana!!
oya hajambo m hb wetu wa mwanza?😆 naomna mrejesho pls..yaliyomo yamo?Weeh thubutuuu
Niulize mimi
Huwa wanaoa🤣😂kabisa..mwanamke ukiwa na hela hamu hamu sa kijinga zinajifia..uwe huna sasa😆
Kwani watasha wana utamaduni gani?Ndo tatizo letu, mtu kufariki haimaanishi kuwa mabaya au mema yake yasitajwe, Mkapa alikuwa kiongozi wa nchi ni role model!
JF Kennedy ametwa mara kadhaa kwa tabia zake mbaya za umalaya akiwa Ikulu, lakini ana mambo yake mengi ambayo watu wanayakumbuka hadi leo akiwa huko kaburini.
Mabaya ya Mkapa yawekwe tu hadharani ili hadhira ijifunze na itachukua yale mema aliyoyatenda.
Weeh yashaisha hayooya hajambo m hb wetu wa mwanza?😆 naomna mrejesho pls..yaliyomo yamo?
Waliokuwa Karibu na "Mzee" mwenye waliuziwa nyumba zaidi ya 4 maneno ya Masaki na Oysterbay!Kati ya mawaziri wa zamani wenye nyumba nyingi na maeneo ya Hadhi huyu mama yumo aisee...kama mkapa ndio aliwezesha yote hayo basi kongole kwake huyu mama maana alijituma vizuri kuhakikisha uzee wake hapati tabu .