Hivi Rita L alipewa Mirathi baada ya Jemedari kuitwa na Mungu au alichinjiwa baharini?

Hivi Rita L alipewa Mirathi baada ya Jemedari kuitwa na Mungu au alichinjiwa baharini?

[emoji1787][emoji23]aliambulia mafao yake toka kwa Ben kabla hajafa
Anna hajampa hata thumni
Kwanza anaanzaje kumface Anna?
Ana ni mkali aiseeh alikujaga ofisini enzi hizo Niko junior, boss akanambia kalete jalada lake, sasa si mke wa Rais mstaafu, kwahiyo wakijaga maofisini hao, afisa unageuzwa secretary na masjala ghafla. Sasa nimefika masjala, dada wa masjala ananizingua, nikasubiri kama dk 10, ndo napeleka jalada, alooh aliniwashia Moto, kidogo Nilie, boss akampoza, akamwambia ndo anaanza kazi, katoka chuo juzi msamehe tu[emoji1787]
Ila mkapa nae alikuwa na kila sababu ya kuchepuka duh hahajhahaahah
Noma sna
 
Kuna baadhi ya Taarifa zako hazipo sawa. Mfano Rita kuachana na Mumewe. Hawakuwahi kuachana ila walikuwa wametengana kwa muda.

Mzee M alinifundisha kitu kimoja, baada ya kumuuliza unajisikiaje na uvumi wa Ben kubanjuana na mama. Akasema, mdogo wangu, ukioa mchagga hayo ni mambo ya kawaida. Uzuri sasa hivi unaliona hiyo Land Cruiser VX ni la mama ila natembelea mimi. Kipi bora kung'ang'ania mke au kufaidi toka kwa mke. Huu ndiyo muongozo wangu siku zote
Mzee nae viazi San kwa hyo Ana ona ufahari kuwalea watot wa mkapa ila hi dunia ina maajabu

Mm naoan Sina ajabunlolote nililofanya
 
Pascal Mayalla paza sauti usikike na mod, huu uzi kamwe haufai, unachafua hizi familia mbili bila sababu ya msingi.
Nimeripoti naona kimya.

Rita ana mume, ana watoto, ana ndg na marafiki huko aliko hao wote wanajisikia je?
Na ndio akome kudanga na watoto wajue kuwa mama Yao alikuwa Malaya tu Hadi kutembe na viongozi wa juu ki ukweli washike adabu walidhani hayatakuja kuwa hadharani itabaki sirini SAS ndio hvyo tuko digital , mama yule nilikuwa namuheshimu kumbe alikuwa danga la mtu mzito alikuwa akiongea namuona bonge la mam mweny akili kumbe alikimbia mume ili apate pesa shenzi typu

Mm marehemu mzee wangu alikuwa Malaya sna sna Hadi kuiba na kutembea na wake za watu ila hata hvyo sijali mm mnk alikuwa anatumia pesa zake na cheo chake kuiba wake za watu
 
Na ndio akome kudanga na watoto wajue kuwa mama Yao alikuwa Malaya tu Hadi kutembe na viongozi wa juu ki ukweli washike adabu walidhani hayatakuja kuwa hadharani itabaki sirini SAS ndio hvyo tuko digital , mama yule nilikuwa namuheshimu kumbe alikuwa danga la mtu mzito alikuwa akiongea namuona bonge la mam mweny akili kumbe alikimbia mume ili apate pesa shenzi typu

Mm marehemu mzee wangu alikuwa Malaya sna sna Hadi kuiba na kutembea na wake za watu ila hata hvyo sijali mm mnk alikuwa anatumia pesa zake na cheo chake kuiba wake za watu
Ukilewa usiingie jf, unachangia utumbo sana.
Una uhakika mama yako hakuwa mdangaji?
Mama yako akianikwa hapa utafurahia?
 
Kati ya mawaziri wa zamani wenye nyumba nyingi na maeneo ya Hadhi huyu mama yumo aisee...kama mkapa ndio aliwezesha yote hayo basi kongole kwake huyu mama maana alijituma vizuri kuhakikisha uzee wake hapati tabu .
Hakuna Cha tabu Ni Sera za huyu marehemu za kuuza nyumba za serkali ndiko iliko pita hzo nyumba alizo nazo hyu mama rita
 
Na ndio akome kudanga na watoto wajue kuwa mama Yao alikuwa Malaya tu Hadi kutembe na viongozi wa juu ki ukweli washike adabu walidhani hayatakuja kuwa hadharani itabaki sirini SAS ndio hvyo tuko digital , mama yule nilikuwa namuheshimu kumbe alikuwa danga la mtu mzito alikuwa akiongea namuona bonge la mam mweny akili kumbe alikimbia mume ili apate pesa shenzi typu

Mm marehemu mzee wangu alikuwa Malaya sna sna Hadi kuiba na kutembea na wake za watu ila hata hvyo sijali mm mnk alikuwa anatumia pesa zake na cheo chake kuiba wake za watu
😂🤣 Kwahiyo umerithi uma.laya wa mzee wako?
Pole wenzio wanarithi majumba na viwanda
 
Hakuna Cha tabu Ni Sera za huyu marehemu za kuuza nyumba za serkali ndiko iliko pita hzo nyumba alizo nazo hyu mama rita
Eeh mzee aliuza Mali nyingi za serikali
Pale Moshi mjini,mamlaka ya maji ya Moshi mjini,waligaiana nyumba za mamlaka kama mapera😂🤣
Kwa bei Chee nenda pale jirani na kiwanda Cha kahawa coffee curing walichokifilisi watendaji,wamejaa tele pale ,wanakula juice baridi,Heineken wanagonga cheers na mbuzi katoliki pembeni🤣😂
 
Eeh mzee aliuza Mali nyingi za serikali
Pale Moshi mjini,mamlaka ya maji ya Moshi mjini,waligaiana nyumba za mamlaka kama mapera[emoji23][emoji1787]
Kwa bei Chee nenda pale jirani na kiwanda Cha kahawa coffee curing walichokifilisi watendaji,wamejaa tele pale ,wanakula juice baridi,Heineken wanagonga cheers na mbuzi katoliki pembeni[emoji1787][emoji23]
Nakumbuka ulisoma Moshi, sio?
 
Back
Top Bottom