ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akishiriki Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani Mkoani Arusha, tarehe 08 Machi, 2025 amesema sherehe hizo zitakuwa zinafanyika Kimikoa lakini zitafanyika kitaifa kila baada ya Miaka mitano.
Hivyo, sherehe nyingine za aina hiyo zitafanyika Mwaka 2030 atakapokuwa anaachia madaraka ya Urais na kukabidhi kijiti kwa mwingine.
Pia soma: Pre GE2025 - Rais Samia azindua Mradi wa Maji Same-Mwanga-Korogwe Machi 9, 2025
My Take
Chadema tafuteni kazi ya kufanya, uchaguzi umekwisha tunasubiria Uapisho tuu hiyo Oktoba.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Hivyo, sherehe nyingine za aina hiyo zitafanyika Mwaka 2030 atakapokuwa anaachia madaraka ya Urais na kukabidhi kijiti kwa mwingine.
Pia soma: Pre GE2025 - Rais Samia azindua Mradi wa Maji Same-Mwanga-Korogwe Machi 9, 2025
My Take
Chadema tafuteni kazi ya kufanya, uchaguzi umekwisha tunasubiria Uapisho tuu hiyo Oktoba.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025