Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Ya kawaida ila UEFA msimu huu arsenal anabebaUnatania ama..
Mbona chama letu lina matatizo kadha wa kadha!!
Madrid mrembo tuMmh. Kina Madrid ntu na ntu wanakua hatari
Muda ni msema ukweli, mie sioni chama langu likibeba hilo kombe kwa misimu ya hivi karibuniYa kawaida ila UEFA msimu huu arsenal anabeba
Inter milan alikufunga tarehe 6 mwezi wa 11 je yalikuwa ni mashindano yapi? Kufunga vitimu vidogo vidogo kama wakina Monaco, Shakhtar, Sporting Lisbon ndio mnajiona ni miamba?Nimejiuliza sana sijapata jibu hivi Kwa Sasa hivi Kuna timu ya kuifunga hii arsenal ya Sasa maana naona Kila mtu anachezea kichapo arsenal inaenda kubeba ubingwa wa uefa na Kwa sababu Kwa uwezo wanaoonesha uwanjani ni hatari sana
Arsenal ni miamba ya soka weweInter milan alikufunga tarehe 6 mwezi wa 11 je yalikuwa ni mashindano yapi? Kufunga vitimu vidogo vidogo kama wakina Monaco, Shakhtar, Sporting Lisbon ndio mnajiona ni miamba?
Sawa mkuu pengine ndio umeijua Arsenal kipindi hiki cha karibuni ila muda utakupa majibu sahihi.Arsenal ni miamba ya soka wewe
Hata wewe huijui arsenalSawa mkuu pengine ndio umeijua Arsenal kipindi hiki cha karibuni ila muda utakupa majibu sahihi.
Hata wewe huijui arsenalSawa mkuu pengine ndio umeijua Arsenal kipindi hiki cha karibuni ila muda utakupa majibu sahihi.
Arsenal wapo vizuri piaUngesema liverpool ningekuelewa
Arsenal Ndio takataka gani ? , ,ngoja mkutane na wanaume hatua ya robo final ,huwa masikini mpaka damu ziwatoke masikioni ninyi KengeNimejiuliza sana sijapata jibu hivi Kwa Sasa hivi Kuna timu ya kuifunga hii arsenal ya Sasa maana naona Kila mtu anachezea kichapo arsenal inaenda kubeba ubingwa wa uefa na Kwa sababu Kwa uwezo wanaoonesha uwanjani ni hatari sana
Hao Arsenal wamekutana na timu gani ya maana? Mbona unawapa kichwa hao wavulana?Nimejiuliza sana sijapata jibu hivi Kwa Sasa hivi Kuna timu ya kuifunga hii arsenal ya Sasa maana naona Kila mtu anachezea kichapo arsenal inaenda kubeba ubingwa wa uefa na Kwa sababu Kwa uwezo wanaoonesha uwanjani ni hatari sana
Miaka 21 bila primier ubora uko wapi?Arsenal wapo vizuri pia
Labda kwa kuliiba.Ya kawaida ila UEFA msimu huu arsenal anabeba