Hivi sasa hivi kuna timu ya kuifunga arsenal kwenye uefa

Hivi sasa hivi kuna timu ya kuifunga arsenal kwenye uefa

Nimejiuliza sana sijapata jibu hivi Kwa Sasa hivi Kuna timu ya kuifunga hii arsenal ya Sasa maana naona Kila mtu anachezea kichapo arsenal inaenda kubeba ubingwa wa uefa na Kwa sababu Kwa uwezo wanaoonesha uwanjani ni hatari sana
Inter milan alikufunga tarehe 6 mwezi wa 11 je yalikuwa ni mashindano yapi? Kufunga vitimu vidogo vidogo kama wakina Monaco, Shakhtar, Sporting Lisbon ndio mnajiona ni miamba?
 
Nimejiuliza sana sijapata jibu hivi Kwa Sasa hivi Kuna timu ya kuifunga hii arsenal ya Sasa maana naona Kila mtu anachezea kichapo arsenal inaenda kubeba ubingwa wa uefa na Kwa sababu Kwa uwezo wanaoonesha uwanjani ni hatari sana
Arsenal Ndio takataka gani ? , ,ngoja mkutane na wanaume hatua ya robo final ,huwa masikini mpaka damu ziwatoke masikioni ninyi Kenge
 
Nimejiuliza sana sijapata jibu hivi Kwa Sasa hivi Kuna timu ya kuifunga hii arsenal ya Sasa maana naona Kila mtu anachezea kichapo arsenal inaenda kubeba ubingwa wa uefa na Kwa sababu Kwa uwezo wanaoonesha uwanjani ni hatari sana
Hao Arsenal wamekutana na timu gani ya maana? Mbona unawapa kichwa hao wavulana?
 
Umeutazama mpira wa Barcelona na Dortmund? Una ujasiri gani wa kumpa matokeo Arsenal mbele ya Barca ya Rafinha na Lamine Yamal bila kumsahau Lewandowski?
 
Back
Top Bottom