Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,942
- 18,669
Vijijini wanakunywaga milinda nyeusi halafu wanasena tamuu.Huu ni wizi kabisa mchana kweupe. Hivi sasa madukani soda za cocacola zenye sukari zimekuwa za kutafta kwa tochi. Zimejaa tu soda zisizokuwa na sukari. Yani nitoe jero yangu nikanywe ma chemicals yasiyokuwa hata na radha. Mnafikiri kila mtu mgonjwa wa kisukari?
Ni sawa na kumuuzia mtu chai isiyokuwa na sukari.
Hata kama sukari imepanda bei au ndyo mmepandishiwa kodi, sio kwa kuuwa soko lenu kwa kujaza masoda yasiyokuwa na radha.
Mkiendelea hivi tutahamia pepsi alafu ayo masoda yenu mtajunywa wenyewe.
UtamuHivi soda huwa mnazipendea nini?
Kunywa maji mjombaUtamu
Halafu haka kaujinga wakaache, last week nimezunguka maduka kama 3 hawana soda zenye sukari, juzi tu pale mitaa ya Tambaza naingia mgahawa flani nao wananiambia tuna koka zisizo na sukari sasa ndio mambo gani haya?Huu ni wizi kabisa mchana kweupe. Hivi sasa madukani soda za cocacola zenye sukari zimekuwa za kutafta kwa tochi. Zimejaa tu soda zisizokuwa na sukari. Yani nitoe jero yangu nikanywe ma chemicals yasiyokuwa hata na radha. Mnafikiri kila mtu mgonjwa wa kisukari?
Ni sawa na kumuuzia mtu chai isiyokuwa na sukari.
Hata kama sukari imepanda bei au ndyo mmepandishiwa kodi, sio kwa kuuwa soko lenu kwa kujaza masoda yasiyokuwa na radha.
Mkiendelea hivi tutahamia pepsi alafu ayo masoda yenu mtajunywa wenyewe.
Lakin awamu ilyopita sukari si iliuzwa had 5000 magufuli ndye akasaidia ikashuka bei sasa 2500hata hizo soda zenye sukari sikuhizi wanabania,sukari kwa mbaliiii,labda wanapunguza gharama za uzalishaji
Wanakera mimi leo imenibidi ninyewe supaleta. Maana mtaa mzma spleta ndyo yenye sukarHalafu haka kaujinga wakaache, last week nimezunguka maduka kama 3 hawana soda zenye sukari, juzi tu pale mitaa ya Tambaza naingia mgahawa flani nao wananiambia tuna koka zisizo na sukari sasa ndio mambo gani haya?
Mara ya mwisho kunywa soda ni lini au had ckukuu ndyo unasubir idi ifike unywe soda?Propaganda tu soda zote zinasukar
Tunadanganywaaaaaa
Soda hazihaanza kunywa leo bhna.Sukari ina madhara makubwa laiti ungejua hilo
Ulaya soda zote zenye sukari ya ziada wanalipa kodi zaidi na hii imepelekea makampuni wapunguze sana sukari kwenye soda
Nafikiri na sisi iwe hivyo
Mara ya mwisho kunywa soda ni lini au had ckukuu ndyo unasubir idi ifike unywe soda?