Mwamba 777
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 2,055
- 3,535
Hao wazee waliwazaa ili muwatunze, watunzeni wazee wenu, msitegemee serikali iwatunzie wazee wenu, kila mmoja abebe msalaba wake mwenyewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanasubiri wazee wajiingize kwenye mikopo umiza ili TAKUKURU waonekane wanajua kazi.WAna laana tayari
Jiwe anaposema fedha za ndani ana maanisha fedha zote toka MIFUKO YA JAMII, HAZINA, BANKI KUU na baadhi ya Mabanki, Makampunii ya Simu na Viwanda! Jiulize kwa mfano kwa nini bidhaa muhimu sana kama Cement, Sukari na Simu bei zake hazishuki?Mimi nadhani uendeshwaji wa mifuko ya hifadhi ya jaamii unahitaji kuboreshwa.na serikali isichukue feda na kupeleka kwingine.mfano mwaka 2022 kutakuwa na sensa,utasikia viongozi wetu wakisema tutafanya sensa kwa fedha za ndani,kumbe Wana chukua kwenye mifuko ya hifadhi.unadhani hapo wastaafu wetu watalipwa kwa wakati?
Inahuzunisha sana.LAPF walikuwa wanalipwa miezi 2 kabla ya kustaafu akaingia mkuu wa malaika akavunja vunja matokeo yake imebaki NSSF na PSSF sijui ni hatari sna
hao wazee waliwazaa ili muwatunze, watunzeni wazee wenu, msitegemee serikali iwatunzie wazee wenu, kila mmoja abebe msalaba wake mwenyewe.
Nadhani wanabagua na watu wa kuwazungusha
2025 nichagueni mimi niwe nawawekea pesa zenu moja kwa moja kwenye account zenu.
Wewe fala watu wanaongelea michango yao si hisani ya serikali.hao wazee waliwazaa ili muwatunze, watunzeni wazee wenu, msitegemee serikali iwatunzie wazee wenu, kila mmoja abebe msalaba wake mwenyewe.
Hahahaha basi endeleeni kupigika. Mkataa pema pabaya panamuita.Tunaogopa utazitumia kwenda kwa kina KHUMBU
[emoji23]
Wabunge wanalipwa kabla ya bunge kuvunjwa tena pesa ndefu lakini watumishi wa kawaida wanazungushwa haswaInahuzunisha sana.