Hivi Serikali hii mna tatizo gani kutolipa wastaafu mafao yao? Hii ni laana mtaua wazee wa watu kwa mawazo

LAPF walikuwa wanalipwa miezi 2 kabla ya kustaafu akaingia mkuu wa malaika akavunja vunja matokeo yake imebaki NSSF na PSSF sijui ni hatari sna

Mimi mzazi wangu alistaafu enzi za kikwete december 31, 2015, imagine alistaafu december, january PPF walimlipa pensheni, na march 2016 , PPF wakamlipa lumpsum yake.. yaani fasta fasta ba hakuwai fatilia popote.. alikuwa ndani tu , ila malipo hayakuchelewa...nashangaa sijui nini kimetokea zama hizi
 
Very funny indeed. Kuna mijitu inaenda kazini inadeal na faili la malipo lina miaka 2 halijawahi kufanyiwa kazi na yenyewe inalipwa mishahara tuu. Ukipiga simu utasikia ngoja tumkumbushie afisa anaelishughulikia 2 yrs......???? Swineeee....
 
Huwa nawaangalia wafanyakazi wa hii mifuko utadhani watu wa maana Sana but cheos..... hawana tabu hawaaa....
 
Mimi nawadai 1000k tu ila nshaisotea hadi nimekata tamaa
 
Pesa inajenga Chato mkuu
 
Labda pesa za mifuko zinachotwa na aliens[emoji3], [emoji870]Tena
 
Wewe kibuyu hizo pesa sio za serikali.
Hao wazee waliwazaa ili muwatunze, watunzeni wazee wenu, msitegemee serikali iwatunzie wazee wenu, kila mmoja abebe msalaba wake mwenyewe.
 
Tatizo ni ukosefu wa mifumo imara hasa hawamu hii, MTU mmoja ndio mwamuzi wa kila kitu, juzi kati nilishangaa sana Magufuri alipokuwa anamkoromea waziri wa mambo ya ndani kwakosa LA askar wastaafu kukulipwa mafao
 
Mitano tena
 
Bi mkubwa mwaka wa 2 huu anafuatilia bila bila.. Nauli mpaka sasa ishafika M moja na bado hajapata kitu.. Wingi wa mawazo kwakwe unanifanya kila nachopata mtu wa kwanza kumfikiria ni yeye.
 
Bi mkubwa mwaka wa 2 huu anafuatilia bila bila.. Nauli mpaka sasa ishafika M moja na bado hajapata kitu.. Wingi wa mawazo kwakwe unanifanya kila nachopata mtu wa kwanza kumfikiria ni yeye.

Inueni mioyo sasa!
 
Kuna dada mmoja alifiwa na mme wake aliekua polisi, amefatilia mafao yake zaidi ya miaka mitano bila mafanikio, wiki iliyopita akapiga simu kwenye kile kipindi cha polepole akatoa malalamiko baada ya siku mbili akapigiwa simu kuwa cheki yake iko tayari amelipwa pesa yote, nilichojifunza watu wanazungushwa mafao yao kwa makusudi ila ukipata mtu wa juu unalipwa fasta, huyo dada kashasafiri mara kadhaa kwenda makao makuu ila aliishia kupigwa kalenda ila simu moja ya humphrey polepole imempa mafao yake yote.
 
Huu Mwaka wa 4 PSSSF wanamsumbua MZEE MSTAAFU
 
Hatari sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…