Hivi sheria inaweza kutolewa onyo kabla ya mkondo kufuatwa?

Hivi sheria inaweza kutolewa onyo kabla ya mkondo kufuatwa?

Buyaka

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2010
Posts
1,705
Reaction score
1,953
Rais na Makamu wake wametoa agizo na ilani kwamba wale wote wanaofanya shughuli zinazoharibu maeneo oevu kama bonde la Ruaha, Usangi na Ihefu waache mora moja vinginevyo sheria itachukua mkondo wake.

LAKINI mama aliyeshitakiwa jana kwa kutoomba risiti dukani hakuambiwa aache tabia hiyo mara moja vinginevyo sheria itachukua mkondo wake. Which means hizo familia 12 zinazochepusha mto Ruaha na kufuga mifugo wanaziogopa.

Hivi mtu kama Dkt. Mpango na kusoma koooote huko na kutoka nje ya nchi inakuaje hajui kwamba

1. Sheria IS NOT negotiable (haizungumziki).

2. Kama utaamua sheria iwe negotiable basi haiwezi kuwa negotiable kwa Hamisi halafu isiwe negotiable kwa Sadiki

Mi sijawahi kuwa hata mjumbe wa nyumba 10. Iweje nijue misingi ya utawala bora ambayo ma Vice Presidents wa nchi hawaijui?
 
Mi sijawahi kuwa hata mjumbe wa nyumba 10. Iweje nijue misingi ya utawala bora ambayo ma Vice Presidents wa nchi hawaijui ?

This theory is appliances
Yure mupe yure muruke!
 
Majizi ya kura yanajua uchaguzi una sheria zake lakini huzifunika kufanya watakavyo. Wakishakaa madarakani hushurutisha sheria😂
 
Rais na Makamu wake wametoa agizo na ilani kwamba wale wote wanaofanya shughuli zinazoharibu maeneo oevu kama bonde la Ruaha, Usangi na Ihefu waache mara mora moja vinginevyo sheria itachukua mkondo wake.

LAKINI mama aliyeshitakiwa jana kwa kutoomba risiti dukani hakuambiwa aache tabia hiyo mara moja vinginevyo sheria itachukua mkondo wake. Which means hizo familia 12 zinazochepusha mto Ruaha na kufuga mifugo wanaziogopa.

Hivi mtu kama Dkt. Mpango na kusoma koooote huko na kutoka nje ya nchi inakuaje hajui kwamba

1. Sheria IS NOT negotiable (haizungumziki).

2. Kama utaamua sheria iwe negotiable haiwezi kuwa negotiable kwa Hamisi halafu isiwe negotiable kwa Sadiki?

Mi sijawahi kuwa hata mjumbe wa nyumba 10. Iweje nijue misingi ya utawala bora ambayo ma Vice Presidents wa nchi hawaijui?
Kuna misemo inaudhi sana inapotumika, lakini nyuma yake hubeba ujumbe sahihi. Ndani ya nchi yetu kuna makundi mawili ya watu, yaani "Kuna watu na viatu"
 
Rais na Makamu wake wametoa agizo na ilani kwamba wale wote wanaofanya shughuli zinazoharibu maeneo oevu kama bonde la Ruaha, Usangi na Ihefu waache mara mora moja vinginevyo sheria itachukua mkondo wake.

LAKINI mama aliyeshitakiwa jana kwa kutoomba risiti dukani hakuambiwa aache tabia hiyo mara moja vinginevyo sheria itachukua mkondo wake. Which means hizo familia 12 zinazochepusha mto Ruaha na kufuga mifugo wanaziogopa.

Hivi mtu kama Dkt. Mpango na kusoma koooote huko na kutoka nje ya nchi inakuaje hajui kwamba

1. Sheria IS NOT negotiable (haizungumziki).

2. Kama utaamua sheria iwe negotiable haiwezi kuwa negotiable kwa Hamisi halafu isiwe negotiable kwa Sadiki?

Mi sijawahi kuwa hata mjumbe wa nyumba 10. Iweje nijue misingi ya utawala bora ambayo ma Vice Presidents wa nchi hawaijui?
WANAFAHAMIANA NAO NI WANACCM WENZAO MBONA MBOWE WALIMFYEKEA BUSTANI YAKE KULE HAI HAWAKUMPA HATA ILANI YA NUSU SAA
 
Back
Top Bottom