Hivi Simba mnaona kinachoendelea Yanga? Sasa mumuogope sana Aziz Ki, zile combination zake za ASEC zipo Avic town

Hivi Simba mnaona kinachoendelea Yanga? Sasa mumuogope sana Aziz Ki, zile combination zake za ASEC zipo Avic town

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
60,050
Reaction score
104,466
Hivi Simba mnajuwa kinachoendelea Yanga?

Picha inaweza kuongea zaidi, kipande cha cream ya Asec mimosa Kipo Yanga.

Wanaojuwa mpira kuna kitu mtakigunduwa hapa maana halisi ya kusajili na kukurupuka.
Set ya Wacongo ililipa, je set ya Asec Mimosa tutalajie nini?

Tukutane kesho kwa Mkapa Lupaso Yanga Vs Kaizer Chiefs.

FB_IMG_1689928507726.jpg
 
Hivi zile beki zenu fupi fupi Kibwana na Job hamjazipa thank you...! Maana naona Mijitu inayosajiliwa na wenzenu huko Unyamani ni Mirefu mirefu...!

Msije mkaanza Kulia lia tena kuwa beki fupi zimewaponza...!
Karibu kesho Lupaso uangalie wana fainali ya CAF wanavyoleta show ya nguvu.
 
Hivi zile beki zenu fupi fupi Kibwana na Job hamjazipa thank you...! Maana naona Mijitu inayosajiliwa na wenzenu huko Unyamani ni Mirefu mirefu...!

Msije mkaanza Kulia lia tena kuwa beki fupi zimewaponza...!
Subiri kinakuja kichapo cha Nyau koko kwa mnyama 🦁 plus kuporwa ubingwa kwa miaka 5,mfululizo tukianza na msimu tutakao uanza hivi karibuni 🏃🏃🏃
 
Ushabiki wa Simba na Yanga muda mwingine ni bange tosha.

Unadhani hata wangehamisha kikosi kizima cha asec mimosas wangefanya nini?

Yaani tumaini unaliweka zaidi kwenye mpira wa miguu!
 
Ushabiki wa Simba na Yanga muda mwingine ni bange tosha.

Unadhani hata wangehamisha kikosi kizima cha asec mimosas wangefanya nini?

Yaani tumaini unaliweka zaidi kwenye mpira wa miguu!
Asec nzima ilikula tatu kwa simba, je wachezaj wanne wa asec ndan ya yanga itakuwaje?
 
Hivi Simba mnajuwa kinachoendelea Yanga?

Picha inaweza kuongea zaidi, kipande cha cream ya Asec mimosa Kipo Yanga.

Wanaojuwa mpira kuna kitu mtakigunduwa hapa maana halisi ya kusajili na kukurupuka.
Set ya Wacongo ililipa, je set ya Asec Mimosa tutalajie nini?

Tukutane kesho kwa Mkapa Lupaso Yanga Vs Kaizer Chiefs.

View attachment 2695141
Dah!....fomesheni imekamilika...bado mrithi wa Mayele tu
 
Hivi zile beki zenu fupi fupi Kibwana na Job hamjazipa thank you...! Maana naona Mijitu inayosajiliwa na wenzenu huko Unyamani ni Mirefu mirefu...!

Msije mkaanza Kulia lia tena kuwa beki fupi zimewaponza...!
Nani kakwambia urefu ndo mpira,ndo maana mnaishiaga robo nyie kwa fikra finyu.
 
Back
Top Bottom