Hivi Simba mnaona kinachoendelea Yanga? Sasa mumuogope sana Aziz Ki, zile combination zake za ASEC zipo Avic town

Hivi Simba mnaona kinachoendelea Yanga? Sasa mumuogope sana Aziz Ki, zile combination zake za ASEC zipo Avic town

Laiti mngekua mnajua kusikiliza na kuelewa basi hiyo clip wala msingekua mnaishadadia kuipa umaarufu.
Amejibu kuwa hafahamu kuhusu Yanga, ila anafahamu kuhusu Simba sababu wamewahi kucheza nayo.
So hapo haiwafanyi kuwa na chochote, anaifahamu sababu wamewahi kukutana, si kwa kingine ambacho mnajaribu kujifariji nacho.
 
Laiti mngekua mnajua kusikiliza na kuelewa basi hiyo clip wala msingekua mnaishadadia kuipa umaarufu.
Amejibu kuwa hafahamu kuhusu Yanga, ila anafahamu kuhusu Simba sababu wamewahi kucheza nayo.
So hapo haiwafanyi kuwa na chochote, anaifahamu sababu wamewahi kukutana, si kwa kingine ambacho mnajaribu kujifariji nacho.
Kwa njia yoyote ile, kwa kucheza nayo au kwa kuisikia, alichosema ni kwamba hajawahi kwa Yanga ila kwa Simba
 
Yanga ya kesho ni timu mpya kabisa na si ile ya Nabi...

Mashabiki wa Yanga msiweke matarajio makubwa sana kwani hiyo itakuwa ni mechi ya kwanza ya ushindani na majaribio kwa kocha mpya na wachezaji wageni...

1. Ni mechi ya kutambulisha wachezaji na benchi la ufundi.

2. Mechi ya kwanza kwa kocha kuwasoma wachezaji kiufundi, kimbinu na kimfumo kulingana na alivyowafunza.

3. Wachezaji kujiuza kwa kocha, hapa tutarajie pia makosa binafsi mengi tu...
 
Karibu kesho Lupaso uangalie wana fainali ya CAF wanavyoleta show ya nguvu.
CAF ndio kombe gani unaogopa Nini kulitaja ni sawa na mwanafunzi anasema nasoma chuo kikuu,Kisha anajificha , sema hapo chuo kikuu unachukua degree ,masters ,phd, au diploma .Huko Caf Kuna mataifa,Club bingwa,super league,super cup,shirikisho.
 
Hivi Simba mnajuwa kinachoendelea Yanga?

Picha inaweza kuongea zaidi, kipande cha cream ya Asec mimosa Kipo Yanga.

Wanaojuwa mpira kuna kitu mtakigunduwa hapa maana halisi ya kusajili na kukurupuka.
Set ya Wacongo ililipa, je set ya Asec Mimosa tutalajie nini?

Tukutane kesho kwa Mkapa Lupaso Yanga Vs Kaizer Chiefs.

View attachment 2695141
Hivi huo upaja wa Aziz Ki ni peke yangu nimeuona ulivyopungua ghafla?
 
CAF ndio kombe gani unaogopa Nini kulitaja ni sawa na mwanafunzi anasema nasoma chuo kikuu,Kisha anajificha , sema hapo chuo kikuu unachukua degree ,masters ,phd, au diploma .Huko Caf Kuna mataifa,Club bingwa,super league,super cup,shirikisho.
Maccm tangu lini yakamiliki akili?
 
Ushabiki wa Simba na Yanga muda mwingine ni bange tosha.

Unadhani hata wangehamisha kikosi kizima cha asec mimosas wangefanya nini?

Yaani tumaini unaliweka zaidi kwenye mpira wa miguu!
Mkuu una uchungu sana Yanga kutawala soka la bongo, uko kwenye Denial stage, ni vizuri ukihamia Acceptance stage Ili uishi kwa amani,
Yanga imepata mtu sahihi wa kuongoza na kusajili na hii ni mbaya sana kwa Makolo mbumbumbu fc, Huyu Eng Hersi ni mtu m-bad sana ni man of action halafu soka anajua, hebu muangalie Mudathir wa Azam na Mudathir wa Yanga na Taifa Stars utajua jamaa hakosei!

Ukweli ni kuwa kwa usajili inaoufanya kwa makini sana , Yanga itamiliki ligi kuu bara kwa miaka mingi mpaka Eng Hersi akisema haya basi Simba punguzeni hasira na makasirikio chukueni kombe moja la Azam Federation.

Simba mnaweza kununa five years, miwili tayari mmenuna! Hata kombe la kuku hamna!
 
Pressure imeanza kupanda Jangwani mapema sana, kinachofanyika sasa ni kujihami tu[emoji1787][emoji1787]

Kazi mnayo, mpaka muzoee mbinu za kocha mpya, Simba ileee...
 
Hivi Simba mnajuwa kinachoendelea Yanga?

Picha inaweza kuongea zaidi, kipande cha cream ya Asec mimosa Kipo Yanga.

Wanaojuwa mpira kuna kitu mtakigunduwa hapa maana halisi ya kusajili na kukurupuka.
Set ya Wacongo ililipa, je set ya Asec Mimosa tutalajie nini?

Tukutane kesho kwa Mkapa Lupaso Yanga Vs Kaizer Chiefs.

View attachment 2695141
Hawa wakiwa pamoja waliisaidia Asec kufika wapi labda Africa?
 
Subiri uone combination yake imetimia.
Chini ya kocha yupi? Timu Ni kocha pia.

Ulishawahi ona wapi timu inafanya vibaya wachezaji wakafukuzwa. Anayefuluzwa Ni kocha.

Kocha ndiye anayebeba mifumo na mbinu, falsafa nk. Hao wachezaji wanaweza wasiingie kwenye mifumo ya kocha. Au Moira ukawakataa.

Doumbia mlimsifu Sana , beki la CHAN kacheza mechi ngapi za kimashindano.
 
Back
Top Bottom