Hivi Sisi Wakristo na Waislamu nao huko Misikitini Kwao wangekuwa Wanakesha na Makelele kama Makanisani Kwetu tungewavumilia?

Hivi Sisi Wakristo na Waislamu nao huko Misikitini Kwao wangekuwa Wanakesha na Makelele kama Makanisani Kwetu tungewavumilia?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
GENTAMYCINE ( alias East African Brain ) ni Mkristo tena wa Dhehebu la Katoliki ila leo hii ( Usiku huu ) bila ya Unafiki nasema wazi kuwa Ndugu zetu Waislamu ni Watu Waungwana, Wastaarabu na Wavumilivu sana, ila Wakristo ni Wanafiki na Wabinafsi mno.

Nina uhakika wa 100% kuwa Waislamu nao wangekuwa Wanakesha Kuabudu huko Misikitini Kwao kwa Kupiga Kelele kama za Makanisani Kwetu Wakristo kila Siku tungesikia Malalamiko dhidi yao na hata Wakristo kutaka Kuandamana kwenda Ikulu ili Mheshimiwa Rais azuie / awazuie.

Nichukieni ila Ukweli nimeshawapa.
 
Sio nguvu ni upumbavu bhana. Sasa hizi kelele za SAKARABORA, SAKARA nini sijui maana yake ni nini?

Lazima tuwe wastaarabu kidogo, unawezaje kukesha huku ukiwa na Spika?
Umepata wapi muda wako ws Kupoteza kumjibu huyo Juha? Ukiona GENTAMYCINE simjibu Mtu jua nimeshamdharau 100% na hana Akili.

Cc: chuma cha mjerumani
 
Mimi mkristo na siwezi kusapoti baadhi ya makanisa yenye hii tabia maana najua kero ya makelele no matter ni ya kanisani, bar, n.k.

Sikuhizi hata walevi wanafungua makanisa wanajiita mababii, matokeo ndio haya wanabeba na zile tabia za kuzoea makelele ya bar.

haya makanisa ya kilokole yamekuja kutuchafua wakristo mithiri ya al shabab ama boko haram inavyochafua uislam

Watu wametoka kwenye shughuli zao wanahitaji kupumzika wanaanza kuteseka na makelele, ujinga mtupu,

Kuna mtaa flani niliwahi kwenda yani huyo rafiki yangu nyumba yao ipo pembeni na kanisa, ikifika usiku kama kuna mgao wanaweka henereta karibu na dirishani kwake, upuuzi mtupu
 
We popoma poyoyo acha kuandika upusi tu mda wote, hizi ni pumba ukiona huwezi hama hakuna aliye kufungia hapo KubwaJ
 
Sasa hivi ni saa 8 na dakika 45 usiku, nipo nimelala Walokole jirani yangu bado wanaimba kwa sauti kubwa sana hadi nakosa raha ya usingizi.

Ikifika saa 9 ya usiku waislam wanaanza swala swalaa amka amka ewe kiumbe.

Yaani ni taabu tupu. Hawa inatakiwa wafungiwe kupigia makelele watu wakiwa wamepumzika. Kuna wagonjwa wazee na watoto wanahitaji utulivu mida ya usiku pia.

Tafuteni namna ya kuabudu bila kuwabughudhi watu wengine.
 
Japo kuwa Genta ni mtani wangu ila kwa hili simuungi mkono.

Hivi sasa ninavyokomenti hapa ni saa 03:07 usiku na huwezi amini niko takriban kilomita 4-5 toka ilipo bar ya Choma zone.

ila kelele na kila linaloongelewa huko na DJ nalisikia barabara(“panda juu ya meza””Ruka sijui hiki sijui kile”) na kila nyimbo inayowekwa naisikia yani kifupi ningekuwa na bia yangu hapa ningekuwa najiona niko kule.

Ni kero na na”imagine wanaokaa 1kilomita radius
ni afadhali wanaomlilia MUNGU wao kwa kelele kuliko hawa wanaomlilia shetani kwa kelele.

[mention]GENTAMYCINE [/mention] kipi afadhali kwa wewe mkatoliki ???
 
RC hawana mambo hayo, wengi ni walokole...
Na walokole wengi wana Stress na wameokoka sababu ya shida, kuimba huko ni kuondoa mawazo, akiacha tuu mawazo yatammaliza,

Hao ndio maana katika mahubiri yao kikubwa wanachoabudu ni kupata neema na sio upendo na kumpenda Mungu...

Ukishakua motivation Speaker una nafasi kubwa sana ya kua mchungaji wa haya madhehebu uchwara, maana ukitamka tuu miujiza ya maendeleo au kumponda adui, Haoooo vigeregere, shangwe na mipasho kanisa zima, wakitoka hapo na vidaftari vyao nyie wengine wote mmepotea.

Mchungaji/Dini yoyote inayokufundisha kujitenga na sio Kutengeneza ni ya KIPUMBAVU.
 
We popoma poyoyo acha kuandika upusi tu mda wote, hizi ni pumba ukiona huwezi hama hakuna aliye kufungia hapo KubwaJ
Asante. Najua umeandika hivi ukitegemea nitakujibu hovyo kama ambavyo Mtu akjaa katika 18 yangu ila sitokujibu hivyo kwakuwa najua ID yako hii bado ni Changa hivyo unanichokoza Makusudi ili nijibizane nawe ili nawe ID yako ijulikane kwani GENTAMYCINE ndiyo mwanzisha mwendo na Watu wengi ( hasa Fools ). kama Wewe hupenda Kusafiria Nyota ya Umaarufu wangu mkubwa na Uliotukuka hapa JamiiForums ili kuzifanya IDs zenu ziwe Famous and Activated.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!
 
RC hawana mambo hayo, wengi ni walokole...
Na walokole wengi wana Stress na wameokoka sababu ya shida, kuimba huko ni kuondoa mawazo, akiacha tuu mawazo yatammaliza,

Hao ndio maana katika mahubiri yao kikubwa wanachoabudu ni kupata neema na sio upendo na kumpenda Mungu...

Ukishakua motivation Speaker una nafasi kubwa sana ya kua mchungaji wa haya madhehebu uchwara, maana ukitamka tuu miujiza ya maendeleo au kumponda adui, Haoooo vigeregere, shangwe na mipasho kanisa zima, wakitoka hapo na vidaftari vyao nyie wengine wote mmepotea.

Mchungaji/Dini yoyote inayokufundisha kujitenga na sio Kutengeneza ni ya KIPUMBAVU.
Mkuu sikujui na wala hatujuani ila kwa Ulichokiandika hapa nina uhakika utakuwa ni very Intelligent Person na una Uwezo mkubwa wa Uelewa na Uchanganuaji wa Masuala / Mambo na hauna Upumbavu na Uwendawazimu kama alionao Uboboh ambaye ameshindwa Kuuelewa huu Uzi wangu na Kakurupuka Kuujibu.

Heko na nimekukubali mno kwa Ulichoandika.
 
Back
Top Bottom