Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ili urejee Kumaliza Kupunguza Ujuha wako?Shule zifungue tu kwakweli.
Njaa mbaya aisee.tKwa 'Basha' wako au?
Chukua yahadhari mwisho masikioGENTAMYCINE ( alias East African Brain ) ni Mkristo tena wa Dhehebu la Katoliki ila leo hii ( Usiku huu ) bila ya Unafiki nasema wazi kuwa Ndugu zetu Waislamu ni Watu Waungwana, Wastaarabu na Wavumilivu sana, ila Wakristo ni Wanafiki na Wabinafsi mno.
Nina uhakika wa 100% kuwa Waislamu nao wangekuwa Wanakesha Kuabudu huko Misikitini Kwao kwa Kupiga Kelele kama za Makanisani Kwetu Wakristo kila Siku tungesikia Malalamiko dhidi yao na hata Wakristo kutaka Kuandamana kwenda Ikulu ili Mheshimiwa Rais azuie / awazuie.
Nichukieni ila Ukweli nimeshawapa.
Pimbi kama Wewe ulishiba lini?Njaa mbaya aisee.t
Nitajaribu hiiNa wewe jumapili wakiwa wanaabudu unakodi mziki mkubwa kuzidi wa kwao piga reggae kuanzia asubuhi. Watakutafuta tu.
Kwa umri huu unadhani matusi yananitisha??Pimbi kama Wewe ulishiba lini?
Sina hakika maana Kuna kipindi walisema adhana zinaleta kelele..GENTAMYCINE ( alias East African Brain ) ni Mkristo tena wa Dhehebu la Katoliki ila leo hii ( Usiku huu ) bila ya Unafiki nasema wazi kuwa Ndugu zetu Waislamu ni Watu Waungwana, Wastaarabu na Wavumilivu sana, ila Wakristo ni Wanafiki na Wabinafsi mno.
Nina uhakika wa 100% kuwa Waislamu nao wangekuwa Wanakesha Kuabudu huko Misikitini Kwao kwa Kupiga Kelele kama za Makanisani Kwetu Wakristo kila Siku tungesikia Malalamiko dhidi yao na hata Wakristo kutaka Kuandamana kwenda Ikulu ili Mheshimiwa Rais azuie / awazuie.
Nichukieni ila Ukweli nimeshawapa.
Hahahaaa.Adhana.
Soon itabidi wawe wanatumia sound proof. Pigia simu police kama unaona kelele
Adhana inapigwa saa kumi na moja ambayo kimsingi hiyo ni asubuhi labda ikishamizika wasisali kwa mike. Lengo la adhana ni kuwaita waumini waje. Mimi ni muislam.Sina hakika maana Kuna kipindi walisema adhana zinaleta kelele..
Kwa heshima na taadhima naomba kusema wewe siyo MKRISTO! Ungekuwa mkristo ungeelewa wanachokifanya wakristo na usingetumia muda wako kugombana nao juu ya hizo unazoita kelele!GENTAMYCINE ( alias East African Brain ) ni Mkristo tena wa Dhehebu la Katoliki ila leo hii ( Usiku huu ) bila ya Unafiki nasema wazi kuwa Ndugu zetu Waislamu ni Watu Waungwana, Wastaarabu na Wavumilivu sana, ila Wakristo ni Wanafiki na Wabinafsi mno.
Nina uhakika wa 100% kuwa Waislamu nao wangekuwa Wanakesha Kuabudu huko Misikitini Kwao kwa Kupiga Kelele kama za Makanisani Kwetu Wakristo kila Siku tungesikia Malalamiko dhidi yao na hata Wakristo kutaka Kuandamana kwenda Ikulu ili Mheshimiwa Rais azuie / awazuie.
Nichukieni ila Ukweli nimeshawapa.
😂😂😂😂Shida ukiwaambia wanapiga kelele wanaona una mapepo utashangaa wanakuja kukushika kichwa huku wanasema
ooooohhhh rabababababa eeeeeehhh shakalalalalalala
jeeeoooni ya leeeooo eeeeeeh usikooo wa leeooo
[emoji2]Sasa hivi ni saa 8 na dakika 45 usiku, nipo nimelala Walokole jirani yangu bado wanaimba kwa sauti kubwa sana hadi nakosa raha ya usingizi.
Ikifika saa 9 ya usiku waislam wanaanza swala swalaa amka amka ewe kiumbe.
Yaani ni taabu tupu. Hawa inatakiwa wafungiwe kupigia makelele watu wakiwa wamepumzika. Kuna wagonjwa wazee na watoto wanahitaji utulivu mida ya usiku pia.
Tafuteni namna ya kuabudu bila kuwabughudhi watu wengine.