Hivi Sisi Wakristo na Waislamu nao huko Misikitini Kwao wangekuwa Wanakesha na Makelele kama Makanisani Kwetu tungewavumilia?

Hivi Sisi Wakristo na Waislamu nao huko Misikitini Kwao wangekuwa Wanakesha na Makelele kama Makanisani Kwetu tungewavumilia?

Shida ukiwaambia wanapiga kelele wanaona una mapepo utashangaa wanakuja kukushika kichwa huku wanasema
ooooohhhh rabababababa eeeeeehhh shakalalalalalala
jeeeoooni ya leeeooo eeeeeeh usikooo wa leeooo
 
Tatizo sio kuabudu tatizo kupiga kelele hebu wajifunze kwa Islamic and Catholic baada ya adhana na kengele hutosikia purukushani nyingine hadi wanatoka

Hawa wenzetu wanachojua ukipiga kelele ndio Mungu atawasikia kwa haraka (wanapinga na BIBLIA "MNAPOOMBA MUWE WANYENYEKEVU").

Najua mleta uzi amekutana na hiyo kero usiku wa kuamkia leo kifupi huwa wanakera basi tu.
 
GENTAMYCINE ( alias East African Brain ) ni Mkristo tena wa Dhehebu la Katoliki ila leo hii ( Usiku huu ) bila ya Unafiki nasema wazi kuwa Ndugu zetu Waislamu ni Watu Waungwana, Wastaarabu na Wavumilivu sana, ila Wakristo ni Wanafiki na Wabinafsi mno.

Nina uhakika wa 100% kuwa Waislamu nao wangekuwa Wanakesha Kuabudu huko Misikitini Kwao kwa Kupiga Kelele kama za Makanisani Kwetu Wakristo kila Siku tungesikia Malalamiko dhidi yao na hata Wakristo kutaka Kuandamana kwenda Ikulu ili Mheshimiwa Rais azuie / awazuie.

Nichukieni ila Ukweli nimeshawapa.
Chukua yahadhari mwisho masikio
 
Nimeshanunua petrol lita 10 za kuchoma kanisa la jirani na maskani, tatizo kila siku narudi nimelewa napitiwa na usingizi mnono, siku nina vimalaria vyangu nikiwa nameza mseto silali mpaka doz iishe nianze kulewa ndo napata usingizi
 
GENTAMYCINE ( alias East African Brain ) ni Mkristo tena wa Dhehebu la Katoliki ila leo hii ( Usiku huu ) bila ya Unafiki nasema wazi kuwa Ndugu zetu Waislamu ni Watu Waungwana, Wastaarabu na Wavumilivu sana, ila Wakristo ni Wanafiki na Wabinafsi mno.

Nina uhakika wa 100% kuwa Waislamu nao wangekuwa Wanakesha Kuabudu huko Misikitini Kwao kwa Kupiga Kelele kama za Makanisani Kwetu Wakristo kila Siku tungesikia Malalamiko dhidi yao na hata Wakristo kutaka Kuandamana kwenda Ikulu ili Mheshimiwa Rais azuie / awazuie.

Nichukieni ila Ukweli nimeshawapa.
Sina hakika maana Kuna kipindi walisema adhana zinaleta kelele..
 
GENTAMYCINE ( alias East African Brain ) ni Mkristo tena wa Dhehebu la Katoliki ila leo hii ( Usiku huu ) bila ya Unafiki nasema wazi kuwa Ndugu zetu Waislamu ni Watu Waungwana, Wastaarabu na Wavumilivu sana, ila Wakristo ni Wanafiki na Wabinafsi mno.

Nina uhakika wa 100% kuwa Waislamu nao wangekuwa Wanakesha Kuabudu huko Misikitini Kwao kwa Kupiga Kelele kama za Makanisani Kwetu Wakristo kila Siku tungesikia Malalamiko dhidi yao na hata Wakristo kutaka Kuandamana kwenda Ikulu ili Mheshimiwa Rais azuie / awazuie.

Nichukieni ila Ukweli nimeshawapa.
Kwa heshima na taadhima naomba kusema wewe siyo MKRISTO! Ungekuwa mkristo ungeelewa wanachokifanya wakristo na usingetumia muda wako kugombana nao juu ya hizo unazoita kelele!

Katika Tanzania, kila mtu ana haki ya kuamini chochote! Wapo wanaoamini ushirikina, wapo wanaoamini mawe!, Wapo wanaoamini ng'ombe nk

Walokole walichagua kumuamini Mungu wa kweli! Kwakuwa Imani yao ni ya kweli na isiyo na mawaa siku zote hawaoni sababu ya kujifichaficha kama wafanyavyo wachawi! Wapo huru kuitangaza Imani yao ulimwenguni pote ili kila mtu na kila kiumbe asikie!

Ukiona walokole wameweka kambi mtaani kwako wamefanya hivyo kwa sababu maalumu! Bila shaka wametumwa kuokoa roho yako na Mungu mkuu na hawatanyamaza mpaka umpokee Yesu! Hizo kelele zinakuhusu wewe kwa 100%! Siku utakayompokea Yesu hautazisikia! Utakuta hapo mtaani ni wewe tu ndiyo unayepata shida na ni kwa sababu ya makandokando yako!

Ukiona kuna dhehebu halipigi kelele za kumtangaza Mungu wao kimbia! Siyo watu wema hao! Siku zote hatuwashi mshumaa na kuuficha la! Tukiwasha mshumaa lazima tuuweke juu ya meza ili uangaze nyumba nzima! Narudia, kama kuna dhehebu linawasha mshumaa kisha kuuficha chini ya kitanda kimbia hilo dhehebu!

Nakusihi, acha kujaribu kuuzima mshumaa wa Yesu! Ikikupendeza, kama umewashindwa, jiunge nao! Vinginevyo hama huo mtaa!
 
Popoma umeanza kurejesha ufahamu wako
Umeandika kweli kabisa
Kwa leo nakupa heko
Hongera popoma
 
Shida ukiwaambia wanapiga kelele wanaona una mapepo utashangaa wanakuja kukushika kichwa huku wanasema
ooooohhhh rabababababa eeeeeehhh shakalalalalalala
jeeeoooni ya leeeooo eeeeeeh usikooo wa leeooo
😂😂😂😂
 
Sasa hivi ni saa 8 na dakika 45 usiku, nipo nimelala Walokole jirani yangu bado wanaimba kwa sauti kubwa sana hadi nakosa raha ya usingizi.

Ikifika saa 9 ya usiku waislam wanaanza swala swalaa amka amka ewe kiumbe.

Yaani ni taabu tupu. Hawa inatakiwa wafungiwe kupigia makelele watu wakiwa wamepumzika. Kuna wagonjwa wazee na watoto wanahitaji utulivu mida ya usiku pia.

Tafuteni namna ya kuabudu bila kuwabughudhi watu wengine.
[emoji2]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom