Hivi Sisi Wakristo na Waislamu nao huko Misikitini Kwao wangekuwa Wanakesha na Makelele kama Makanisani Kwetu tungewavumilia?

Hivi Sisi Wakristo na Waislamu nao huko Misikitini Kwao wangekuwa Wanakesha na Makelele kama Makanisani Kwetu tungewavumilia?

Sasa hivi ni saa 8 na dakika 45 usiku, nipo nimelala Walokole jirani yangu bado wanaimba kwa sauti kubwa sana hadi nakosa raha ya usingizi.

Ikifika saa 9 ya usiku waislam wanaanza swala swalaa amka amka ewe kiumbe.

Yaani ni taabu tupu. Hawa inatakiwa wafungiwe kupigia makelele watu wakiwa wamepumzika. Kuna wagonjwa wazee na watoto wanahitaji utulivu mida ya usiku pia.

Tafuteni namna ya kuabudu bila kuwabughudhi watu wengine.

UKiona wanakubana we hama mkuu
 
Asante. Najua umeandika hivi ukitegemea nitakujibu hovyo kama ambavyo Mtu akjaa katika 18 yangu ila sitokujibu hivyo kwakuwa najua ID yako hii bado ni Changa hivyo unanichokoza Makusudi ili nijibizane nawe ili nawe ID yako ijulikane kwani GENTAMYCINE ndiyo mwanzisha mwendo na Watu wengi ( hasa Fools ). kama Wewe hupenda Kusafiria Nyota ya Umaarufu wangu mkubwa na Uliotukuka hapa JamiiForums ili kuzifanya IDs zenu ziwe Famous and Activated.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!
Idiot
 
Mkuu sikujui na wala hatujuani ila kwa Ulichokiandika hapa nina uhakika utakuwa ni very Intelligent Person na una Uwezo mkubwa wa Uelewa na Uchanganuaji wa Masuala / Mambo na hauna Upumbavu na Uwendawazimu kama alionao Uboboh ambaye ameshindwa Kuuelewa huu Uzi wangu na Kakurupuka Kuujibu.

Heko na nimekukubali mno kwa Ulichoandika.
Wote mnamapepo
 
Sasa hivi ni saa 8 na dakika 45 usiku, nipo nimelala Walokole jirani yangu bado wanaimba kwa sauti kubwa sana hadi nakosa raha ya usingizi.

Ikifika saa 9 ya usiku waislam wanaanza swala swalaa amka amka ewe kiumbe.

Yaani ni taabu tupu. Hawa inatakiwa wafungiwe kupigia makelele watu wakiwa wamepumzika. Kuna wagonjwa wazee na watoto wanahitaji utulivu mida ya usiku pia.

Tafuteni namna ya kuabudu bila kuwabughudhi watu wengine.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
RC hawana mambo hayo, wengi ni walokole...
Na walokole wengi wana Stress na wameokoka sababu ya shida, kuimba huko ni kuondoa mawazo, akiacha tuu mawazo yatammaliza,

Hao ndio maana katika mahubiri yao kikubwa wanachoabudu ni kupata neema na sio upendo na kumpenda Mungu...

Ukishakua motivation Speaker una nafasi kubwa sana ya kua mchungaji wa haya madhehebu uchwara, maana ukitamka tuu miujiza ya maendeleo au kumponda adui, Haoooo vigeregere, shangwe na mipasho kanisa zima, wakitoka hapo na vidaftari vyao nyie wengine wote mmepotea.

Mchungaji/Dini yoyote inayokufundisha kujitenga na sio Kutengeneza ni ya KIPUMBAVU.
You nailed it.
 
Shida ukiwaambia wanapiga kelele wanaona una mapepo utashangaa wanakuja kukushika kichwa huku wanasema
ooooohhhh rabababababa eeeeeehhh shakalalalalalala
jeeeoooni ya leeeooo eeeeeeh usikooo wa leeooo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Adhana (swalaa) ni ya mda mfupi Ila inakera sana?? Rwanda wamepiga marufuku. Kuna makelele yanayopigwa kuhusu "ukafiri wa Wakristu" nalo ni kero. Wewe ni mkatoliki halisi! Hiyo michango ya mara kwa mara nayo ni kero. Waislamu hawafanyi biashara Ila Wakristu ni biashara. Naidhinisha, "hizi Imani tulizoletewa ni kero" japo walileta maendeleo ila kiimani ni danganya toto.
 
Sio nguvu ni upumbavu bhana. Sasa hizi kelele za SAKARABORA, SAKARA nini sijui maana yake ni nini?

Lazima tuwe wastaarabu kidogo, unawezaje kukesha huku ukiwa na Spika?
Warokole wanakesha na vipaza sauti
 
Back
Top Bottom