Hivi "Social distance" ni kwa Rais pekee?

Hivi "Social distance" ni kwa Rais pekee?

G Sam

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
11,795
Reaction score
36,704
Naona Rais anajipendelea balaa. Social distance ni yeye pekee. Wengine tunaambiwa ni kovidi frii. Siku hizi hata mic anayo ya kwake peke yake na hata Maris wa nchi nyingine hawaruhusiwi kuitumia (Refer siku ya kuapishwa kwake)

Any way naona Mheshimiwa anajipendelea yani anajihakikishia usalama Mia kwa mia. Na likichacha basi unaona route ya njia ya kati kuelekea mpakani inakamatwa fasta.

Siku hizi naona na ka potabo eisii kanawekwa pembeni kabisaa!

msemaukweli255_20201116_153436_0.jpg
 
we jamaa kiazi sana, mbona wakati anaapishwa alikuwa karibu na wengineo au hilo hukuliona na bungeni je?
 
Kuna waliokuwa wanamsifia jamaa kaimaliza Corona, tena wakawa wanajinadi kwenye kampeni.

Hebu tuwaulize hiyo distance aliyosimama amefanya hivyo kwa nini?!

Halafu kila alipo na feni ipo, shida nini!
 
Ngoja kigogo wa twitter aje. Mafeni nayo yatolewe ufafanuzi na mvua zote hizi.
 
Kuna waliokuwa wanamsifia jamaa kaimaliza Corona, tena wakawa wanajinadi kwenye kampeni.

Hebu tuwaulize hiyo distance aliyosimama amefanya hivyo kwa nini?!

Halafu kila alipo na feni ipo, shida nini!
Daah'!!
 
Ni masuala ya ulinzi tu, hatutaki yatokee ya mwaka 2001 kwa makamu wa Rais wa wakati huo baada ya kuwekewa vitu kwa mic
 
Back
Top Bottom