Da Gladiator
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 1,641
- 2,646
Najimvua lote hilo, bado anatumia Ac ?!
Kweli tuna Rais.
Kweli tuna Rais.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we jamaa unaropoka bila kuwa na ushahidi hii ni leo wakati wa kuapishwa ni social distancing gani unayoizungumzia? ukiwa na tuhuma uwe na vithibitisho sio picha moja umeconclude huo ni ujinga ambao tunaukataa siku zoteKuna waliokuwa wanamsifia jamaa kaimaliza Corona, tena wakawa wanajinadi kwenye kampeni.
Hebu tuwaulize hiyo distance aliyosimama amefanya hivyo kwa nini?!
Halafu kila alipo na feni ipo, shida nini!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Naona Rais anajipendelea balaa. Social distance ni yeye pekee. Wengine tunaambiwa ni kovidi frii. Siku hizi hata mic anayo ya kwake peke yake na hata Maris wa nchi nyingine hawaruhusiwi kuitumia (Refer siku ya kuapishwa kwake)
Any way naona Mheshimiwa anajipendelea yani anajihakikishia usalama Mia kwa mia. Na likichacha basi unaona route ya njia ya kati kuelekea mpakani inakamatwa fasta.
Siku hizi naona na ka potabo eisii kanawekwa pembeni kabisaa!
View attachment 1627673
Dawa zipi!?Hii AC kila mahali inamaanisha mambo mengi. Mara nyingi zile dawa zinaleta joto kali.
we jamaa unaropoka bila kuwa na ushahidi hii ni leo wakati wa kuapishwa ni social distancing gani unayoizungumzia? ukiwa na tuhuma uwe na vithibitisho sio picha moja umeconclude huo ni ujinga ambao tunaukataa siku zoteView attachment 1627890
Ni masuala ya ulinzi tu, hatutaki yatokee ya mwaka 2001 kwa makamu wa Rais wa wakati huo baada ya kuwekewa vitu kwa mic
Kuna muda inakua facialHivi ni Siacial au social?
Air condition siyo mwavuli, haipo kwa ajili ya mvua au jua! Ni kwa ajili ya joto au baridi.Halafu Dodoma Mvua Nyingi Sana Ilinyesha Jana Usiku
Air Condition Ya Nini?😀😁😂
Zi-ARV au twa-damu?Hii AC kila mahali inamaanisha mambo mengi. Mara nyingi zile dawa zinaleta joto kali.
Zile kauli tata feni inakuwa imezima nini? Maana zipo kauli ambazo hata nikipiga chupa nzima ya Jack Daniel siwezi zitoa hadharaniBila hilo feni mifumo ya mwili inaleta mgogoro.
mmmhBila hilo feni mifumo ya mwili inaleta mgogoro.