mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Nitakataa mpaka kesho ukiniambia mechi za ligi yetu ya mpira wa miguu ni mchezo sawa na mpira wa miguu wa wenzetu tunaowaona kwenye Tv zile game za akina Mbappe, Messi na Ronaldo, adhani ni michezo miwili inayofanana tu, kama ilivyo soccer ya ufukweni nk.
Mbona hawa wa kwetu wote wanakimbilia mpira tu mpira na hawana nguvu.
Mbona hawa wa kwetu wote wanakimbilia mpira tu mpira na hawana nguvu.