Hivi sportpesa wanajielewa kweli,ebu ona hii kosa la kiufundi waliofanya.

Hivi sportpesa wanajielewa kweli,ebu ona hii kosa la kiufundi waliofanya.

Leo CR7 atajizolea misifa mpaka basi,Mo SALAH atakumbana na beki mhuni RAMOS and he will be totally blanked!mpaka kipyenga cha mwisho,liverpool fans mtabaki mmejishika viuno,hapo ndo mtajua ni kosa kubwa sana kuingia na madrid uwanjani huku ndoo imewekwa hadharani.
 
Leo CR7 atajizolea misifa mpaka basi,Mo SALAH atakumbana na beki mhuni RAMOS and he will be totally blanked!mpaka kipyenga cha mwisho,liverpool fans mtabaki mmejishika viuno,hapo ndo mtajua ni kosa kubwa sana kuingia na madrid uwanjani huku ndoo imewekwa hadharani.
Tayari SALAH ashafanyiwa yake na RAMOS
 
Leo CR7 atajizolea misifa mpaka basi,Mo SALAH atakumbana na beki mhuni RAMOS and he will be totally blanked!mpaka kipyenga cha mwisho,liverpool fans mtabaki mmejishika viuno,hapo ndo mtajua ni kosa kubwa sana kuingia na madrid uwanjani huku ndoo imewekwa hadharani.
Utabiri wangu unakaribia,RAMOS kashafanya yake!
 
Katika mechi ya leo UEFA eti odds wamezigawa hivi.
Madrid-2.08
Draw-3.78
Liverpool -3.01

Leo kuna watu wanawapiga hawa jamaa mamilioni bila huruma, tayari nimeweka 20,000 asubuhi kesho nimeshapata elfu 60 ya kusogezea wiki ijayo, ningekuwa nina mtaji ningejilipua milioni 30 Jumamosi halafu Jumapili naenda kununua nyumba ya milioni 80.

In short there is no chance in the world Madrid anaweza pita bila kufungwa goli za kutosha.
Kama leo kingeitwa kikosi cha mpira duniani basi wachezi watatu wa mbele wangetoka Liverpool.

Profesa mmoja wa chuo kikuu cha Cambridge alisema kama kuna timu duniani inataka sahihi ya Firminho, Mane na Salaah kwa wakati mmoja itabidi iwe na kiasi cha euro bil 1.5 .
Mkeka umechanwa,ndoto ya buku 60,000 imefutwa leo unalaza watoto njaa
 
Katika mechi ya leo UEFA eti odds wamezigawa hivi.
Madrid-2.08
Draw-3.78
Liverpool -3.01

Leo kuna watu wanawapiga hawa jamaa mamilioni bila huruma, tayari nimeweka 20,000 asubuhi kesho nimeshapata elfu 60 ya kusogezea wiki ijayo, ningekuwa nina mtaji ningejilipua milioni 30 Jumamosi halafu Jumapili naenda kununua nyumba ya milioni 80.

In short there is no chance in the world Madrid anaweza pita bila kufungwa goli za kutosha.
Kama leo kingeitwa kikosi cha mpira duniani basi wachezi watatu wa mbele wangetoka Liverpool.

Profesa mmoja wa chuo kikuu cha Cambridge alisema kama kuna timu duniani inataka sahihi ya Firminho, Mane na Salaah kwa wakati mmoja itabidi iwe na kiasi cha euro bil 1.5 .
Mkuu makampuni ya Betting wana akili nyingi mno hao Huwa hawakosei kirahisi hivyo.Hizo Odds zilikuwa sawasawa.
 
Leo CR7 atajizolea misifa mpaka basi,Mo SALAH atakumbana na beki mhuni RAMOS and he will be totally blanked!mpaka kipyenga cha mwisho,liverpool fans mtabaki mmejishika viuno,hapo ndo mtajua ni kosa kubwa sana kuingia na madrid uwanjani huku ndoo imewekwa hadharani.
Waeleze hao
 
Back
Top Bottom