Hivi Suma G uko wapi?

Mwambieni Saigoni aandae kipindi E -fm cha hiphop au tumpe na jina kipindi kbsaa.....basi akiite strictly hiphop...from there Majizo awe anaandaa matamasha yearly ya hiphop atakuwa pioneer and will get him some money sijui yu wapi huyu jamaaa....ebwana dah ...
 
Wanasema jamaa kawa shekhe
 
B

nilishawahi kwenda mpaka kwa mamu store kuulizia eti na yeye album za zamani hana ila wosia baadhi ya nyimbo ninazo ngoja nikitulia nitaziweka apa
aiseee huyo mamu shoga kweli unakosaje album za hawa wasanii wetu wa kitambo
 
aiseee huyo mamu shoga kweli unakosaje album za hawa wasanii wetu wa kitambo
Hana hata moja anaboa mbaya mwana fa nishawahi kumuuliza twitter kuwa album yake ya unanitega ntaipata wapi akasema kwa mamu nikaenda zangu mpaka kariakoo kufika anadai hana amejaza ma bongo movie tu na album za vijana za juzi juzi
 
Computer yupo km miezi miwili iliyopita alifiwa na baba ake
Yupo kimara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…