GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Rubbish and Nonsensical.Eti Onyo: uooga utawaua Watanzania bado unatumia ID fake lakini bado una uoga.
Kwa hali hiyo unaweza kwenda sehemu na kumsema Waziri au Rais kwamba anakosea.
Uoga ukizidi unazaa ujinga na kujipendekezana mwisho ni Mauti-alisema Mwl.Nyerere
Pumbavu.Unashindwaje kusema Tanzania inabidi kutangazwe hali ya hatari kutokana na Nchi kutokuwa na umeme na maji.
Ninachojua Mimi kuwa hiyo inchi siyo (rwanda)Na je, Maadui ( wenye Utaalam na walioiva Kimedani ) hawawezi kutumia Crisis ya Kukosekana kwa Maji na Umeme katika Taifa lolote duniani katika Kujipanga Kimashambulizi na hata Kuliharibu ( Kuliteketeza ) Taifa na Kizazi chake?
ONYO
Katika haya Maelezo yangu hapa sijaitaja nchi yoyote ile sasa Wewe Kurupuka uje na Kiherehere chako kujifanya unajua kuwa naisema nchi fulani kisha tulaumiane kwa Majibu yangu 'Umiza' ya papo kwa hapo.
Nawasubiria.Inawezekana leo hujaoga wala kupiga pasi nguo kutokana na current crisis, lakn uko sawa. Subiri wataalam wa diplomasia na siasa waje kutoa muongozo
Nielimishe basi Wewe Pang'ang'a ( Juha ) juu ya State of Emergency ( SE ) na ni Vigezo gani vinaifanya iwepo.Maana ya SE unaijua kwanza, conditions na implications? We jamaa ni lijuaji sana na sura yako kama ushuzi wa mleviπ‘
Huwa nawaandikia zaidi Watu Werevu ( Intelligent ) hapa JamiiForums na siyo kwa Mipan'gang'a ( Dimwits ) kama Wewe sawa?Genta mwoga ameandika utafikiri kunguru !!weka andiko lako black and white, kwani unaogopa nini?
Eti "ushuzi wa mlevi" πππππππMaana ya SE unaijua kwanza, conditions na implications? We jamaa ni lijuaji sana na sura yako kama ushuzi wa mleviπ‘
Yaani Maji hakuna Dar tu,mkoa mmoja mnataka kulifanya ni janga la kitaifa?Na je, Maadui ( wenye Utaalam na walioiva Kimedani ) hawawezi kutumia Crisis ya Kukosekana kwa Maji na Umeme katika Taifa lolote duniani katika Kujipanga Kimashambulizi na hata Kuliharibu ( Kuliteketeza ) Taifa na Kizazi chake?
ONYO
Katika haya Maelezo yangu hapa sijaitaja nchi yoyote ile sasa Wewe Kurupuka uje na Kiherehere chako kujifanya unajua kuwa naisema nchi fulani kisha tulaumiane kwa Majibu yangu 'Umiza' ya papo kwa hapo.
Wewe jamaa Lazima umewahi vuta Bangi, na Lazima unavuta!!Huwa nawaandikia zaidi Watu Werevu ( Intelligent ) hapa JamiiForums na siyo kwa Mipan'gang'a ( Dimwits ) kama Wewe sawa?