Na je, Maadui ( wenye Utaalam na walioiva Kimedani ) hawawezi kutumia Crisis ya Kukosekana kwa Maji na Umeme katika Taifa lolote duniani katika Kujipanga Kimashambulizi na hata Kuliharibu ( Kuliteketeza ) Taifa na Kizazi chake?
ONYO
Katika haya Maelezo yangu hapa sijaitaja nchi yoyote ile sasa Wewe Kurupuka uje na Kiherehere chako kujifanya unajua kuwa naisema nchi fulani kisha tulaumiane kwa Majibu yangu 'Umiza' ya papo kwa hapo.