Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 12,582
- 26,053
Hao wote hawaniwezi hata kidg.Katibu wa Sasa ni mzabzab, na yeye ana wasaidizi wawili kina national anthem na mzee wa kupambania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao wote hawaniwezi hata kidg.Katibu wa Sasa ni mzabzab, na yeye ana wasaidizi wawili kina national anthem na mzee wa kupambania
Unaona Sasa, nikisema umepinda namaanisha🙊Hao wote hawaniwezi hata kidg.
😂😂😂😂Mim ni mnyoofu.Unaona Sasa, nikisema umepinda namaanisha🙊
Yaani watu 3, na Bado unasema hawakuwezi??. Hebu ngojaa niongee na usalama wa taifa. Mana hili ni tishio.😂😂😂😂Mim ni mnyoofu.
Usalama wa taifa wao viswaswadu lbd wanajeshi wa PutinYaani watu 3, na Bado unasema hawakuwezi??. Hebu ngojaa niongee na usalama wa taifa. Mana hili ni tishio.
Tuko nae daraja la ipyana hapa tunaziba pancha baskelAlizidi fix shemeji na dada yake wamemrudisha kijijini na kitecno wamekichukua.
Saa hizi yupo zake Bujonde huko anaangalia bata wakibanduana.
Ngoja nikaoge, ntarudi na tiba yakooUsalama wa taifa wao viswaswadu lbd wanajeshi wa Putin
Sawa nenda ukaogeNgoja nikaoge, ntarudi na tiba yakoo
Bill Lugano, tajiri soma hiiTajiri is back ,tupe andiko tuwe inspired ,kuna Uzi wako wa magari kila nikiona gari kama range rover ,fordranger najua bill lugano atakuwa yeye anaenda au kutoka kwenye mashamba yake kuangalia vijana kama wanaendelea na kazi ,na nikikuta gari Kali imepaki sehemu najuaga ni yeye yuko hapo
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Nina Range la Mwaka 2022 kwa sasa. Jipya kabisa. Ila nimeona watu wanarushiana picha kwenye mitandao...sijaelewa kwa nini. Karibu sana Oysterbay. Weekend flani njoo upumzikeTajiri is back ,tupe andiko tuwe inspired ,kuna Uzi wako wa magari kila nikiona gari kama range rover ,fordranger najua bill lugano atakuwa yeye anaenda au kutoka kwenye mashamba yake kuangalia vijana kama wanaendelea na kazi ,na nikikuta gari Kali imepaki sehemu najuaga ni yeye yuko hapo
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Bill ishi sana mkuu, sijawahi kukusoma bila tabasamu.Nina Range la Mwaka 2022 kwa sasa. Jipya kabisa. Ila nimeona watu wanarushiana picha kwenye mitandao...sijaelewa kwa nini. Karibu sana Oysterbay. Weekend flani njoo upumzike
Hongera boss, my boss Bantu Lady hebu ununue gari, maana nimechoka kupanda matela ya ng'ombeNina Range la Mwaka 2022 kwa sasa. Jipya kabisa. Ila nimeona watu wanarushiana picha kwenye mitandao...sijaelewa kwa nini. Karibu sana Oysterbay. Weekend flani njoo upumzike