Hivi TANAPA nao wana makomando?

Hivi TANAPA nao wana makomando?

kwenye pitapita zangu nimekutana na picha chini apo wanajiita makomando wa JU iv tofauti na JWTZ kuna jeshi lingine linamakomando?
Kila jeshi lina objectives zake.
Jeshi la Uhifadhi Tanzania limeanzishwa kisheria.
Ni jeshi lenye mambo mengi mno. Fikiria linapambana na majangili ambao wengine huenda ni makomandoo kutoka sehemu mbalimbali duniani lakini wanakalishwa chini.
Ni jeshi hatari sana kwa mafunzo. Mkuu mmoja kasema wanarecruit 300, wanamaliza 3. Intake fulani ktk 100 alifuzu 1 tu.
 
Kila jeshi lina objectives zake.
Jeshi la Uhifadhi Tanzania limeanzishwa kisheria.
Ni jeshi lenye mambo mengi mno. Fikiria linapambana na majangili ambao wengine huenda ni makomandoo kutoka sehemu mbalimbali duniani lakini wanakalishwa chini.
Ni jeshi hatari sana kwa mafunzo. Mkuu mmoja kasema wanaecruit 300, wanamaliza 3. Intake fulani ktk 100 alifuzu 1 tu.
Dah kambi yao ya mafunzo ni wapi mkuu
 
Jeshi gani linapigwa na wahuni wa kibiti. Jeshi ni Polisi tu wengine ni Raia waliochanganyikiwa
Jeshi gani linapigwa na wahuni wa kibiti. Jeshi ni Polisi tu wengine ni Raia

Jeshi gani linapigwa na wahuni wa kibiti. Jeshi ni Polisi tu wengine ni Raia waliochanganyikiwa
Mkuu hawa polisi waliogaragazwa na Hamza au wap unaongelea
 
Ila huu ukomando wa kubeba mafurushi ulishapitwa na wakati. Huu labda ungekuwa relevant enzi za Guerillas (vita vya misituni).

Kwenye modern warfare hizi mambo ni very irrelevant. Majeshi yetu yaachane na huu ujinga wa ku display commando wanapasua matofali au kubeba vitu vizito huo ni ukomando wa kijima.

Modernize our forces.
 
Ukomando ni nini?.
Komando ni nani?
Vigezo gani vinatumika Ili mtu aqualify kuitwa Komando?
Nini tofauti ya special force/service na komando? Ikiwa ni kitu kimoja hostoria yake imekaaje?

Mkijibu hayo tutajua JU Kuna nini?
 
kama askari wao wa kawaida ndo wana roho mbaya vile, hao komandoo wao sijui itakuwaje
Hao askari wa Tanapa wana ukatili kutokana na nature ya kazi yao. Mfano ikatokea wameingia kwenye anga ya majangili nao hukutana na ukatili wa hali ya juu so ndio maana nao ukiingia kwenye anga zao wana ku treat kijangili jangili.

Kuna jamaa aliwahi kukutwa ametega kanga ameshawaweka kwenye mfuko asee walimpa adhabu ya kuwala na manyoya yao hivyo hivyo wazima wazima.
 
Ukomando ni nini?.
Komando ni nani?
Vigezo gani vinatumika Ili mtu aqualify kuitwa Komando?
Nini tofauti ya special force/service na komando? Ikiwa ni kitu kimoja hostoria yake imekaaje?

Mkijibu hayo tutajua JU Kuna nini?
Mkuu kwa ninavojua komando mfano jwtz ni miongoni mwa askari wanachaguliwa na kupelekwa kwenye coz maalumu isiopungua miez mitatu
 
Back
Top Bottom