Revolution 22
Member
- Jun 11, 2021
- 63
- 141
- Thread starter
- #81
People wanasema mkuuMafunzo makali wapi hao raia 'wakakamavu' tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
People wanasema mkuuMafunzo makali wapi hao raia 'wakakamavu' tu.
Kwa haya uliyo orothesha clearly kuna idea na special forces groups kama hizo,umekariri kwenye movie huko unakuja basi unadhani dunia nzima ndio hivyo hivyoMakomandooo tunaowajua ni Wa IDF Israel difense force, SAS, navy seal,na Hamas, hawa wengine ni militia tu, mgambo
Umeshawahi pitia huko au na ww ni mtu wa kuhadisiwa?Mafunzo makali wapi hao raia 'wakakamavu' tu.
Mtu wa kuhadithiwa mkuu..!Umeshawahi pitia huko au na ww ni mtu wa kuhadisiwa?
Nani alikuambia kuwa komando ni mali ya JWTZ, hata wewe unaweza kiwa komando mradi usiutumie kiholela kama kumsulubu mkeo au kudai bia za bure baa.Kwenye pitapita zangu nimekutana na picha chini hapo wanajiita makomando wa JU, hivi tofauti na JWTZ kuna Jeshi lingine lina makomando?
View attachment 3034951
na hao 10 wanaobakia wakienda msumbuji wanakutana na wababe wao ambao siyo makomandoo ila wanajua vita na wanauwawa kirahisi kama kunguruWanaanzaga mafunzo 300 wanahitimu 10 tu.
sasa kama wako vyema hivi inakuwaje waarabu wanachukua wanyama kirahisi na hata kuua na kusafiri nao uarabuni?Lile ni jeshi kamili lina vitengo vyote unavyovijua kwenye majeshi, wana intelligence yao, wana cyber, wana comando brigade, na Wanatumia silaha za kivita na nzito kama kawaida na mafunzo ya hao jamaa ni makali sana
Mzee unadharau sio poaJeshi gani linapigwa na wahuni wa kibiti. Jeshi ni Polisi tu wengine ni Raia waliochanganyikiwa
Nakumbuka kipindi cha Kigangwala ndiyo alianza na haya makitu.Naona wanajiita comando mkuu
Wengine wanabebeshana mizigo mizito ili wapigie picha. Ingawa wengine ni makomandoo kweli. InategemeaKwenye pitapita zangu nimekutana na picha chini hapo wanajiita makomando wa JU, hivi tofauti na JWTZ kuna Jeshi lingine lina makomando?
View attachment 3034951
Ingia kwenye anga zao ndio utajua wale sio raia!JESHI NI MOJA TU TPDF na Command zake wengine wote ni raia wakakamavu
Wewe Bure kabisa, FFU anaweza kutumia siraha zote za kijeshi,au unajitoa ufahamu?Mkuu tema mate chini,FFU ni jeshi lile sema wana deal na raia. FFU wanapewa mafunzi ya kijeshi 100% na wanafanya mazoezi ya utayari kila mara. We huoni hata Rais analindwa na FFU basala ya JW?
Anataka akaeape uroda pengneUnataka ukavamie?
Jidanganye hivyo hivyo, ushabiki na story za vijiweniCommando sio kubeba mabegi mengiiii
Hata huko Jeiwii hakuna makomandoo wapo wapasua mawe
Labda kwako wewe raiaIngia kwenye anga zao ndio utajua wale sio raia!