Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,230
- 10,650
Hahahaaaaa hawanhusu haoWe subiri tu si tulikubaliana vijana hawakuhusu 😏😏
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaaa hawanhusu haoWe subiri tu si tulikubaliana vijana hawakuhusu 😏😏
Kuwaulizia ulizia inahusu? Nn.?Hahahaaaaa hawanhusu hao
Unajua nini kuhusu commandos? Usikute ndo kama hao wa Tanapa na wale ffu wanaojibatiza jina hilo kumbe hawajui hata commando ni nani na anafanya nini.Hawajifunzi kwa IDF? huko huwez Kuta Komando kajazia kama mabaunsa wa club
Hata hao wa TIpidiefu pia wanatamani kuwa ma commando ila ndio wanaishia kuigiza kuwa ma Komando.
Ndo majeshi yetu mkuu tuyakubali tuHii Nchi Kila kitu ni sifa tu unarinda wanyama huko fire extinguisher Yanini maana hata moto ukiwaka utakimbilia kukata majani ya mti uuzime.
Ni vizuri ukaikubali kazi unayoifanya. Kuanza kujilinganisha na kazi za watu wengine ni sawa na kutojivunia na kazi yako. Huwezi kukuta mwanajeshi anajilinganisha na watu wa taasisi zingine kwa sababu anaona kazi yake ni bora zaidi. Ndivyo inavyotakiwa.Umewaonea sana.
Mbona wote hao wakikuona umekaa kiboyaboya wanakuambia wao ni TISS?🤣🤣🤣🤣🙏Ni vizuri ukaikubali kazi unayoifanya. Kuanza kujilinganisha na kazi za waty wengine ni sawa na kutojivunia na kazi yako. Huwezi kukuta mwanajeshi anajilinganisha na watu wa taasisi zingine kwa sababu anaona kazi yake ni bora zaidi. Ndivyo inavyotakiwa.
wananyanyasa sana raia hawa ili wao pia waheshimiwe kuwa ni jeshi. kama umeishi arusha, serengeti na karibu na selous utajua ninachosema. wapo tayari kupiga binadamu risasi kwasababu ya swala au nguruwe pori tu.Kwenye pitapita zangu nimekutana na picha chini hapo wanajiita makomando wa JU, hivi tofauti na JWTZ kuna Jeshi lingine lina makomando?
View attachment 3034951
Wavaa khaki ndio wanaweza kukuambia hivyo.Mbona wote hao wakikuona umekaa kiboyaboya wanakuambia wao ni TISS?🤣🤣🤣🤣🙏
Ile ni idara nyie kila siku mnapigwa na raiaJeshi gani linapigwa na wahuni wa kibiti. Jeshi ni Polisi tu wengine ni Raia waliochanganyikiwa
OCD adundwa na mgombea Ubunge CCM Polisi wasema ni "jambo la kawaidaIle ni idara nyie kila siku mnapigwa na raia
IDARA YA KUZUIA DADAPOA
Hizi ni elite units si makomando, kila paramilitary apparatus nchi hii ina kikundi hikoKwenye pitapita zangu nimekutana na picha chini hapo wanajiita makomando wa JU, hivi tofauti na JWTZ kuna Jeshi lingine lina makomando?
View attachment 3034951
Yes umeiweka in simple manners. Watu wengi hawafahamu hiliAlmost every security apparatus in this country has at least a single battalion of Special Forces or Special Services or Elite Unit, not necessarily commandos.
Hiyo picha ni show of force tu, lakin kwenye real mission hawabebi makorokoro namna hiyoIla huu ukomando wa kubeba mafurushi ulishapitwa na wakati. Huu labda ungekuwa relevant enzi za Guerillas (vita vya misituni).
Kwenye modern warfare hizi mambo ni very irrelevant. Majeshi yetu yaachane na huu ujinga wa ku display commando wanapasua matofali au kubeba vitu vizito huo ni ukomando wa kijima.
Modernize our forces.
Special force ndio Elite military special force unit. Hakuna unit kama hiyo nje ya military.Hizi ni elite units si makomando, kila paramilitary apparatus nchi hii ina kikundi hiko
Kaka elite unit zipo kwenye vyombo vya ulinzi na usalama. However JU ni paramilitary component si fully military kama jeshi la wananchi. So kisheria hawana commando , na hawatoweza kutumia hilo jina (labda iwe a.k.a) , such units zinaitwa elites, special forces belongs to armySpecial force ndio Elite military special force unit. Hakuna unit kama hiyo nje ya military.
Makomandooo tunaowajua ni Wa IDF Israel difense force, SAS, navy seal,na Hamas, hawa wengine ni militia tu, mgamboKwenye pitapita zangu nimekutana na picha chini hapo wanajiita makomando wa JU, hivi tofauti na JWTZ kuna Jeshi lingine lina makomando?
View attachment 3034951
Mafunzo makali wapi hao raia 'wakakamavu' tu.Mkuu mbona mdau mmoja kasema wanamafunzo makali sana