NCHI ambayo inaelewa imuhimu wa umeme nyakati za Usiku haiwezi kukata umeme usiku sababu ya mgao.
Mgao ni mchana na ndio umeme unatumika mwingi. USIKJ UMEME UNATUMIKA sana kwa ajili ya ulinzi nj kimaanisha taa, alarm na mawasiliano.
Lakinj TANESCO wanakata umeme as if wanataka kumkomesha Waziri mpya bwana Dotto.
Hii si sawa