Hivi Tanzania kuna msanii yeyote anamzidi Ally Kiba kwa ubinafsi na unafiki?

Hivi Tanzania kuna msanii yeyote anamzidi Ally Kiba kwa ubinafsi na unafiki?

avatar_banned_l.png
hahahaha not again!!!!!!!!!!! sweet heart kila siku unalimwa ban uwe mpole bass wacha utukutu
[emoji15][emoji30][emoji30] hii ban iwe ya muda mfupi mana uyu mdau anatusaidia sn stori za Insta
 
Kamaa anatabia za kishogaa na hizi tabia sijaona tanzania..huyu jamaa atakuwa ametokea mombasa
 
Kwani kumuwish MTU birthday Lazima?mie sio mshabiki wake ila hapo jamaa ulikosa tu cha kumuandika ndio ukaamua kutafuta kiki kiivyo
 
Hivi hii ni ban? Mi nilifikiri ni Avatar tu.

avatar_banned_l.png
 
Wadau nauliza tu hivi TZ kuna msanii yeyote anayemzidi Ally Kiba kwa ubinafsi na unafiki??

Kiba namuona mbinafsi na mnafki kwa kuwa sijawahi kuona hata mara moja akimu wish mtu yeyote siku ya kuzaliwa au kumpa pongezi yoyote msanii mwenzake ikiwemo kumpost kwenye mitandao ya kijamii kwa kumpa pongezi

Pia sijawahi kuona Kiba akisifia cha mwenzake kutoka moyoni kusifia kwake ukimuangalia usoni unaona kabisa hii pongezi haijatoka moyoni


Mimi navyoona Kiba alivyokuwa mdogo alikuwa akiimbiwa afiche vitu anavyonunuliwa ili atumie peke yake au hata chakula inawezekana alikuwa anakula chobingo akimaliza ndo anaenda kwa wenzake ,maana duuuuuh huyu jamaa ana roho mbaya alafu mbinafsi kichizi

We chukulia mfano insta ana followers millioni moja na ushee lakini yeye hamfollow mtu yeyote yule sasa kama huu sio ubinafsi ni nini??
View attachment 415252
Watu wa karibu wa Ally Kiba mshauri abadilike bhana la sivyo hata ikiwezekana iko cheo chake cha ubalozi wa wanyama anyang'anywe tu balozi gani ana roho mbaya namna hii kwa binadamu wenzake ataweza kupenda wanyama kweli??
huyu bwege ndo maaana hafiki popote hata show ya CB alitoa pesa ili tu aperfome....... ubinfafsi wake ndo umemzika kimziki mpka kina Le mbebez wanaaamua mpa makavu live
 
ukifata kila kitu binadam wanachosema walahh utapasuka kichwa wala uwez endelea kila mtu uishi vile apendavo yy na cio wapendavo watu
 
Wakuu hebu nisaidien.jinsi ya kutuma viicon nikiandika.naona havitokei kama ninavyotaka kwa mfano kiicon.cha kicheko au mshangao nikijaribu kutuma nakuta empty
 
Huyu na huyo domo unaemkubali wote wanafanya muziki wa kiboya tu. Siwakubali
**according to me
 
Wadau nauliza tu hivi TZ kuna msanii yeyote anayemzidi Ally Kiba kwa ubinafsi na unafiki??

Kiba namuona mbinafsi na mnafki kwa kuwa sijawahi kuona hata mara moja akimu wish mtu yeyote siku ya kuzaliwa au kumpa pongezi yoyote msanii mwenzake ikiwemo kumpost kwenye mitandao ya kijamii kwa kumpa pongezi

Pia sijawahi kuona Kiba akisifia cha mwenzake kutoka moyoni kusifia kwake ukimuangalia usoni unaona kabisa hii pongezi haijatoka moyoni


Mimi navyoona Kiba alivyokuwa mdogo alikuwa akiimbiwa afiche vitu anavyonunuliwa ili atumie peke yake au hata chakula inawezekana alikuwa anakula chobingo akimaliza ndo anaenda kwa wenzake ,maana duuuuuh huyu jamaa ana roho mbaya alafu mbinafsi kichizi

We chukulia mfano insta ana followers millioni moja na ushee lakini yeye hamfollow mtu yeyote yule sasa kama huu sio ubinafsi ni nini??
View attachment 415252
Watu wa karibu wa Ally Kiba mshauri abadilike bhana la sivyo hata ikiwezekana iko cheo chake cha ubalozi wa wanyama anyang'anywe tu balozi gani ana roho mbaya namna hii kwa binadamu wenzake ataweza kupenda wanyama kweli??

Na wasiwasi na jinsia yako mtoa post.we ka sio shogaa bax sio ridhiki mbele ya mwenyez mungu..anyaway wanaume wa dar bana
 
Hahahaha....nimejikuta nacheka tu,

Ila sio vibaya hata mimi nilipata funzo hivihivi kabla sijakua.
 
Haya maswala mengine person issue alafu sio lazima kulichimba ndo life mkuu awezi ishi utakavyo tumuache ishi atakavyo kwa sababu sio mtoto mdogo hiyo ndo lifestyle yake
 
Ali Kiba anaweza kuwa si mbinafsi, hana communication skills tuu, na pia anakosa menejiment bunifu at least ya kumfanya awe ana wasiliana na washabiki wake, hasa kuto mfollow mtu hata mmoja huko IG nadhani ni kosa la kiufundi menejment yake ina takiwa iliangalie
*lakini kama hai mcost kimuziki bas tumuache aish maisha yake
Ndo anafurahia ikiwa hivo
hujawahi kuniangusha kwenye tafakari!
kiba huwa anaamini watu wanamhitaji kuliko yeye anavyowahitaji!
ni kama vile watu ndio wanaoimba na yeye ndiye anayetakiwa kununua singo,kuview video zao,
so niwao wanatakiwa kumfollow na kumsifia na kumpa support ili asikilize mziki wao
huyo ndo kiba!
 
1.Unaonekana wewe sio mfuatiliaji mzuri wa Social media hususan instagram, fuatilia ukurasa wake wa insta utagundua madhaifu yako
2.Kuhusu kumfollow mtu inategemea, hata mimi siwezi kumfllw mtu tu ilimradi kunakuwa na sababu huenda ana sababu zake, usimpangie mtu matumizi ya akaunti yake.
3.Fuatilia wasanii wakubwa Tanzania utagundua Alikiba hana ubinafsi katika kushirikiana nyimbo hata na msanii mdogo tofauti na mastaa wengine,
Na ukifuatilia kwa makini zaidi utaona wengi wanafanikiwa mojakwamoja kupitia yeye na wengine hushindwa wenyewe daadae. Angalia wasanii kama;
1.ommy dimpoz-nainai
2.top C-sababu ya Ulofa
3.prince seseme
4.bonge la nyau na wengineo wengi tu
 
1.Unaonekana wewe sio mfuatiliaji mzuri wa Social media hususan instagram, fuatilia ukurasa wake wa insta utagundua madhaifu yako
2.Kuhusu kumfollow mtu inategemea, hata mimi siwezi kumfllw mtu tu ilimradi kunakuwa na sababu huenda ana sababu zake, usimpangie mtu matumizi ya akaunti yake.
3.Fuatilia wasanii wakubwa Tanzania utagundua Alikiba hana ubinafsi katika kushirikiana nyimbo hata na msanii mdogo tofauti na mastaa wengine,
Na ukifuatilia kwa makini zaidi utaona wengi wanafanikiwa mojakwamoja kupitia yeye na wengine hushindwa wenyewe daadae. Angalia wasanii kama;
1.ommy dimpoz-nainai
2.top C-sababu ya Ulofa
3.prince seseme
4.bonge la nyau na wengineo wengi tu
Hawo wasanii uliowataja wapo wapi mbona hawasikiki
 
1.Unaonekana wewe sio mfuatiliaji mzuri wa Social media hususan instagram, fuatilia ukurasa wake wa insta utagundua madhaifu yako
2.Kuhusu kumfollow mtu inategemea, hata mimi siwezi kumfllw mtu tu ilimradi kunakuwa na sababu huenda ana sababu zake, usimpangie mtu matumizi ya akaunti yake.
3.Fuatilia wasanii wakubwa Tanzania utagundua Alikiba hana ubinafsi katika kushirikiana nyimbo hata na msanii mdogo tofauti na mastaa wengine,
Na ukifuatilia kwa makini zaidi utaona wengi wanafanikiwa mojakwamoja kupitia yeye na wengine hushindwa wenyewe daadae. Angalia wasanii kama;
1.ommy dimpoz-nainai
2.top C-sababu ya Ulofa
3.prince seseme
4.bonge la nyau na wengineo wengi tu
top c, nyauloso c wasanii wa bob junior
 
Back
Top Bottom