Hivi Tanzania kuna msanii yeyote anamzidi Ally Kiba kwa ubinafsi na unafiki?

Hivi Tanzania kuna msanii yeyote anamzidi Ally Kiba kwa ubinafsi na unafiki?

[emoji15][emoji30][emoji30] hii ban iwe ya muda mfupi mana uyu mdau anatusaidia sn stori za Insta
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ,asante mkuu kwa kuonesha roho ya uungwana na upendo ,wengine humu wanafurahi wakiona wenzao wamepewa ban
 
huyu bwege ndo maaana hafiki popote hata show ya CB alitoa pesa ili tu aperfome....... ubinfafsi wake ndo umemzika kimziki mpka kina Le mbebez wanaaamua mpa makavu live
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Wadau nauliza tu hivi TZ kuna msanii yeyote anayemzidi Ally Kiba kwa ubinafsi na unafiki??

Kiba namuona mbinafsi na mnafki kwa kuwa sijawahi kuona hata mara moja akimu wish mtu yeyote siku ya kuzaliwa au kumpa pongezi yoyote msanii mwenzake ikiwemo kumpost kwenye mitandao ya kijamii kwa kumpa pongezi

Pia sijawahi kuona Kiba akisifia cha mwenzake kutoka moyoni kusifia kwake ukimuangalia usoni unaona kabisa hii pongezi haijatoka moyoni


Mimi navyoona Kiba alivyokuwa mdogo alikuwa akiimbiwa afiche vitu anavyonunuliwa ili atumie peke yake au hata chakula inawezekana alikuwa anakula chobingo akimaliza ndo anaenda kwa wenzake ,maana duuuuuh huyu jamaa ana roho mbaya alafu mbinafsi kichizi

We chukulia mfano insta ana followers millioni moja na ushee lakini yeye hamfollow mtu yeyote yule sasa kama huu sio ubinafsi ni nini??
View attachment 415252
Watu wa karibu wa Ally Kiba mshauri abadilike bhana la sivyo hata ikiwezekana iko cheo chake cha ubalozi wa wanyama anyang'anywe tu balozi gani ana roho mbaya namna hii kwa binadamu wenzake ataweza kupenda wanyama kweli??
Menejimenti ndio tatizo
 
Mwacheni aishi atakavyo japo napenda sana asivyopenda makuu kama nilivyo mimi[emoji6]
 
Haya maswala mengine person issue alafu sio lazima kulichimba ndo life mkuu awezi ishi utakavyo tumuache ishi atakavyo kwa sababu sio mtoto mdogo hiyo ndo lifestyle yake
Celebrity huyo anatofauti kubwa ya mimi na wewe lazima achimbwe
 
Una uhakika gani ni wanaume wa dar.
Kama wewe sio fan wa celebrities kaa pembeni. Wasanii wetu ni vioo vyetu vya jamii na sisi km mashabiki wao tunawasapot kwenye kazi zao na kuwashauri wanapokosea.

Wanaume wa dar kwa Ali kiba tu au wasanii wote, wewe kama sio shabiki wa wasanii wa bongo shabikia kina Chriss brown na 50cent uwe mwanaume wa kimataifa.

To us Music is life
hajielewi huyo mkuu
 
Wadau nauliza tu hivi TZ kuna msanii yeyote anayemzidi Ally Kiba kwa ubinafsi na unafiki??

Kiba namuona mbinafsi na mnafki kwa kuwa sijawahi kuona hata mara moja akimu wish mtu yeyote siku ya kuzaliwa au kumpa pongezi yoyote msanii mwenzake ikiwemo kumpost kwenye mitandao ya kijamii kwa kumpa pongezi

Pia sijawahi kuona Kiba akisifia cha mwenzake kutoka moyoni kusifia kwake ukimuangalia usoni unaona kabisa hii pongezi haijatoka moyoni


Mimi navyoona Kiba alivyokuwa mdogo alikuwa akiimbiwa afiche vitu anavyonunuliwa ili atumie peke yake au hata chakula inawezekana alikuwa anakula chobingo akimaliza ndo anaenda kwa wenzake ,maana duuuuuh huyu jamaa ana roho mbaya alafu mbinafsi kichizi

We chukulia mfano insta ana followers millioni moja na ushee lakini yeye hamfollow mtu yeyote yule sasa kama huu sio ubinafsi ni nini??
View attachment 415252
Watu wa karibu wa Ally Kiba mshauri abadilike bhana la sivyo hata ikiwezekana iko cheo chake cha ubalozi wa wanyama anyang'anywe tu balozi gani ana roho mbaya namna hii kwa binadamu wenzake ataweza kupenda wanyama kweli??

90% ya wabongo ni mazombi
 
yeye anajiita alikiba for real anajua yuko real kumbe hovyo tu,

Huyu jamaa hadi maisha ya kawaida ni mbinafsi nimewai kukutana nae mahala fulani kikazi alivyokua anatujibu nilichoka
 
ha ha ha wamenionea bhana eti kisa nimemuita Ally Kiba kibakuli ndo wakanipa ban
Diamond kila siku anaitwa domo humu sijaona mtu akipewa ban ila mimi nilivyomuita tu Ally K kibakuli hapo hapo wakanipa ban
Hahahahahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] penda mm ww.
 
Mtu kukujibu usivyopenda kunategemea umetumia approach ipi na aina ya maswali uliyouliza. Unaweza swali la kishari ni wazi unaweza jibiwa kishari, au ukawa hayuko kwenye moody nzuri ya kukujibu unavotaka.... Ni mawazo yangu.
 
yeye anajiita alikiba for real anajua yuko real kumbe hovyo tu,

Huyu jamaa hadi maisha ya kawaida ni mbinafsi nimewai kukutana nae mahala fulani kikazi alivyokua anatujibu nilichoka
Ndo allivyo huyo namfahamu tangu kitambo anavyotoka ila wasio mjua wataona namuonea
 
Back
Top Bottom