Mcqueenen
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 6,843
- 11,702
Hivi Bongo kuna sehemu gani kule ndani ndani, nyuma ya mlima unavuka pori, unaogelea mito yani ukifika unakuta kijiji kizima hata mmoja hajui Kiswahili?
Maana mimi naamini Tanzania ni kubwa sana,nyuma ya ile milima ya morogoro mjini (Udzungwa) au ile ya Mzumbe kule sidhani kama kuna watu.
Hata kama wapo ndo hao hata hawajui wako nchi gani.
Ni wapi unapajua wewe?
Maana mimi naamini Tanzania ni kubwa sana,nyuma ya ile milima ya morogoro mjini (Udzungwa) au ile ya Mzumbe kule sidhani kama kuna watu.
Hata kama wapo ndo hao hata hawajui wako nchi gani.
Ni wapi unapajua wewe?