Naughty by nature
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 2,123
- 2,359
Mikristo ina roho mbayaa
Jjjiwe alikuwa mgalatia 'na roho yake ya mauaji, nyie ni mashettan,wavaa kobazi ni waungwana sanaSijui umejuaje asee yani iyo ni kama kunya lazima. Halafu leo nimeipiga kwa fujo puff za kutosha kwasababu mchana tuligombana na demu wangu.
Tuachane na hayo. Ni hivi hata makabila kwaanzia wazaramo, wakwere,wandingo, ndengereko, wamatumbi na kushuka huko kusini jamiii za kimakonde wamwera, makua etc wote wangekuwa wagalatia wangekuwa poa zaidi. Tatizo dini ya mwarabu.
Magonjwa Mtambuka
Mna roho za kwann sana,na uchawi kwenu ni kawaidaVipi na sisi wandengereko?
Wazaramo wapo poa....
Wasukuma wapo poa....
Wabena/ Wahehe/ Wakinga wapo poa.....
Wambulu na makabila yanapatikana ukanda huo + watu wa Singida.
Hawa hapana, washamba mno.
Ngumi mkononi sana, wapo tofauti na watanzania wote nahisi.
Ongezea wana mdomo mrefu
Wavivu kufanya kazi.
WAnadinyanyana bila nidhamu..
Wanabadilishana wanaume na wanawake kwa ile falsafa yao ya mafiga 3.
Ngoma sasa kila wiki kanga mpya ya ngomani.
Wana milo miwili...chai saa 9 jioni na ugali saa 2 usiku imetoka hiyoo
Wandengereko mnapenda sana ubwabwaVipi na sisi wandengereko?
No sister, nimesomea Kisarawe kwa wazaramo na nilijiapiza sitafunua mzaramo kamweBro walikuotea [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
No sister, nimesomea Kisarawe kwa wazaramo na nilijiapiza sitafunua mzaramo kamwe
Mzaramo mchafu sanaKwann? Mbona hawana baya jamani my zangu [emoji23][emoji23][emoji23]
Mzaramo mchafu sana
Mimi Nina degree zaidi ya moja, Kuna mchengerwa hapo unasemaje na sio wafupi.Wafupi kama sabuni ya kipande.
Msomi wa form 4 kijijini hamtakunywa maji
Mkuu sipingi kabisa kuhusu hili ni watu poa sana pia sio watu wa ugomvi sema midingi ya huko ni mivivu hatari sana!Nimetembea Tanzania nzima bara n.a. visiwani ila sijaona watu poa kama wajomba zangu wazaramo.
Wana upendo wa hali ya juu. Wanawaheshimu watu wote bila kujali dini zao, makabila yao, wanatoka wapi etc.
They mind their own business.
They never snitch wala hawamshangai shangai mtu hata kama ana life style tofauti na ya kwao.
Wana upendo. They are generous. Wakarimu kwa wageni. They are generally happy etc.
Wazaramo wako poa sana.
Hakuna watu poa kama wazaramo.
Ukiishi na wazaramo kwa muda mrefu unaweza ukashindwa kuishi na watu wa makabila mengine kwa sababu wazaramo wana weza kumtolerate n.a. kumchukulia mtu wa aina yoyote ile jambo ambalo watu wengine hawawezi.
Wazaramo oyeee
Wahehe/wabena oyee!
Nimewataja wabena na wahehe kwa sababu nimewahi kusimuliwa na wazee wa kizaramo kwamba asili ya wazaramo ni iringa kwenye moo za wabena na wahehe. Wakati wanakuja walipita milima ya uluguru wakaitwa waluguru then wengine wakaja mzizima ndo hao wanaitwa wazaramo..
Mdomo mchafu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uchafu wake nini??
Chakara chakara mikoroshini??
Kwanini ulibadili? Ujue ulinipa shida kukujua 🤣🤣🤣Mdomo mchafu
Vichambo
Hata usafi wa mazingira...
Bado mkulano wa hovyo ngomani na mtaani..
Note: narejesha id ya kale utaniunga mkono?
huwa baada ya miaka 2 nabadili id, this time naona imenipa changamoto, raia nao wamenigomea, pili jina limedakwa, nam..bembele aniachia kakubali piaKwanini ulibadili? Ujue ulinipa shida kukujua 🤣🤣🤣
Hili zuri limekaa ki Pastor na hiyo bible nikajua tunafungua kanisa mdogo ako niwe mtunza hazina 😜huwa baada ya miaka 2 nabadili id, this time naona imenipa changamoto, raia nao wamenigomea, pili jina limedakwa, nam..bembele aniachia kakubali pia
Hahaha Mungu hadhihakiwi dada.Hili zuri limekaa ki Pastor na hiyo bible nikajua tunafungua kanisa mdogo ako niwe mtunza hazina 😜
Kapu la sadaka na fungu la kumi nisimamie me
Nimefanyaje kaka angu kipenzi?Hahaha Mungu hadhihakiwi dada.
But ulichonifanyia mungu anakuona
Unataka niseme hapa uaibike?Nimefanyaje kaka angu kipenzi?