Ulishawahi ona mzaramo kaolewa na mtu wa bara, let say kaolewa na mtu wa mkoa mwingine na kwenda kuishi huko tofauti na Dar na mikoa ya jirani.Ni kweli utafiti wako ni sahihi, ndugu zetu hawa kwa asilimia kubwa ni watu waliojaa ukarimu na mapenzi kwa wageni.
Oa mzaramo utakuja kufuta uzi wako hapaNimetembea Tanzania nzima bara n.a. visiwani ila sijaona watu poa kama wajomba zangu wazaramo.
Wana upendo wa hali ya juu. Wanawaheshimu watu wote bila kujali dini zao, makabila yao, wanatoka wapi etc.
They mind their own business.
They never snitch wala hawamshangai shangai mtu hata kama ana life style tofauti na ya kwao.
Wana upendo. They are generous. Wakarimu kwa wageni. They are generally happy etc.
Wazaramo wako poa sana.
Hakuna watu poa kama wazaramo.
Ukiishi na wazaramo kwa muda mrefu unaweza ukashindwa kuishi na watu wa makabila mengine kwa sababu wazaramo wana weza kumtolerate n.a. kumchukulia mtu wa aina yoyote ile jambo ambalo watu wengine hawawezi.
Wazaramo oyeee
Wahehe/wabena oyee!
Nimewataja wabena na wahehe kwa sababu nimewahi kusimuliwa na wazee wa kizaramo kwamba asili ya wazaramo ni iringa kwenye moo za wabena na wahehe. Wakati wanakuja walipita milima ya uluguru wakaitwa waluguru then wengine wakaja mzizima ndo hao wanaitwa wazaramo..
Hujaishi usukumani,wasumuma ni watu wakatili sana kama wakuryaWasukuma wako poa ila wana ile.kumshangaa shangaa mtu. Ila generally ni watu poa sana
Wasukuma hawapo poa, acha uongo
Kwanza mna vikundi vya majungu mnaviita Nzengo.
Kurogana
Uchawi
Wivu majungu
Ukatili
Mauaji
Bado Kuna Mtemi
Nyie mna ujinga mwingi
Mimi Nina degree zaidi ya moja, Kuna mchengerwa hapo unasemaje na sio wafupi.
Maneromango iko mkoa gani
Kalifanyie tena utafiti hiliThey mind their own business.
😅😅Nenda migombani uone wanavyochukia wageni .
Hapo kwenye Milo umesema ukweli niliwahi kuwa na jirani yangu mzaramo chai wanakunywa saa sita mchana halafu Ana watoto wadogo. Asubuhi vitoto vinatia huruma vinacheza tu,Ongezea wana mdomo mrefu
Wavivu kufanya kazi.
WAnadinyanyana bila nidhamu..
Wanabadilishana wanaume na wanawake kwa ile falsafa yao ya mafiga 3.
Ngoma sasa kila wiki kanga mpya ya ngomani.
Wana milo miwili...chai saa 9 jioni na ugali saa 2 usiku imetoka hiyoo
Aaaah pongezii kwenu karibuni kaskazini uko[emoji1787][emoji1787]Watu wa pwani wote hao tuko fresh tu sema kuna changamoto tu flani flani za kiufundi
Na wewe unatokea kaskazn?[emoji1787]Watu wa kaskazini na mara ndo tuna pigo za ajabu wengine wote ni watu poa sana
Maisha yangu yote ya kule kaka kuzaliwa, elimu na mengn
Ooh kwetu uchaganii uko arifuMaisha yangu yote ya kule kaka kuzaliwa, elimu na mengn
Hapo sasaNiliwahi kusikia ukimmkwaza mzaramo anaweza kukuchamba Hadi ukafa😂😂
Au huwa wanasingiziwa tu😂😂
Kisarawe PwaniManeromango iko mkoa gani