Hivi Tanzania kuna watu poa kama wazaramo? Ukiishi na wazaramo huwezi kuishi na kabila jingine lolote lile

Hivi Tanzania kuna watu poa kama wazaramo? Ukiishi na wazaramo huwezi kuishi na kabila jingine lolote lile

Niliwahi kusikia ukimmkwaza mzaramo anaweza kukuchamba Hadi ukafa😂😂
Au huwa wanasingiziwa tu😂😂
Ukiwa na pressure usikae uzaramoni maana kuchaba ni sifa, kama mkeo hajui kuchamba achana nae,🙏 usije kufa na masononeko Bure.
 
Ningesema wazaramo ndio WATANZANIA mngeniona na Mimi mzaramo.[emoji1787]
Mi sio mzaramo ila wazaramo ndo wameifungua tanzania just imagine dar ingekua yawasukuma nzengo ingekua kila kona, kisukuma kingeongelewa had mliman city, ng'ombe wangekua wanazagaa had kariakoo[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom