Chotti de Alba
JF-Expert Member
- Sep 1, 2013
- 348
- 106
Wadau. Salam.
Hivi TARURA mmejiangalia na kujitathmini jinsi mnavyokamua wananchi pesa?
Ngoja niwape scenario. Mfano mimi nimeenda kupaki gari pale makumbusho nje ya jengo la LAPF, Mdada wa parking kaniona kapiga picha kaniandikia deni. Baada ya kupiga picha yeye anaondoka anaenda upande mwengine. Mimi nakua nimeingia na kutoka in less than 30 minutes so obviously deni najua ni 500. Unapotoka, huyo dada wa maegesho humuoni maana anakua ana kazi ya kukagua hizo parking upande/sehemu nyingine. Unaondoka
Swali. Je? Ni wakati gani huyo dada anajua nimeondoa gari pale na kwamba deni ni 500 na halizidi hapo?
Je? Ni alama gani inayomuonesha kuwa ile gari pale imekaa nusu saa au masaa mawili? Anakadiria?
TARURA watu wamejikuta wana madeni hadi ya elfu tisini. Sio sawa. Kama serikali haina vyanzo vya mapato vinavyoeleweka ombeni donation wananchi tuwachangie kama watoto yatima. Tujue tu.
NB: mawakala na wasemaji wa serikali naombeni msije na majibu yenu ya lipa deni. Nimekuja niulize swali je bei za maegesho ni za makadirio? Kijana wa parking anajuaje gari imekaa muda kiasi flani ikiwa mda unatoka yeye anakua upande mwengine. ?
Hivi TARURA mmejiangalia na kujitathmini jinsi mnavyokamua wananchi pesa?
Ngoja niwape scenario. Mfano mimi nimeenda kupaki gari pale makumbusho nje ya jengo la LAPF, Mdada wa parking kaniona kapiga picha kaniandikia deni. Baada ya kupiga picha yeye anaondoka anaenda upande mwengine. Mimi nakua nimeingia na kutoka in less than 30 minutes so obviously deni najua ni 500. Unapotoka, huyo dada wa maegesho humuoni maana anakua ana kazi ya kukagua hizo parking upande/sehemu nyingine. Unaondoka
Swali. Je? Ni wakati gani huyo dada anajua nimeondoa gari pale na kwamba deni ni 500 na halizidi hapo?
Je? Ni alama gani inayomuonesha kuwa ile gari pale imekaa nusu saa au masaa mawili? Anakadiria?
TARURA watu wamejikuta wana madeni hadi ya elfu tisini. Sio sawa. Kama serikali haina vyanzo vya mapato vinavyoeleweka ombeni donation wananchi tuwachangie kama watoto yatima. Tujue tu.
NB: mawakala na wasemaji wa serikali naombeni msije na majibu yenu ya lipa deni. Nimekuja niulize swali je bei za maegesho ni za makadirio? Kijana wa parking anajuaje gari imekaa muda kiasi flani ikiwa mda unatoka yeye anakua upande mwengine. ?