Hivi tatizo la 'kunatana' wakati wa kufanya mapenzi linasababishwa na nini?

Hivi tatizo la 'kunatana' wakati wa kufanya mapenzi linasababishwa na nini?

Sidhani Kama kuna ukweli wa jambo Hilo labda mbwa hata mm nimeona sana katima maisha yangu lkn wacha tupate elimu kutoka kwa wanao juwa
 
Ushirikina huo!!!
Wanaijeria wanayo mbaya zaidi... Kuna kabila ukilala na mke wa mtu unakufa!!! Wakeza watu wanaogopwa kama ukoma... Wengine mke wa mtu ukilala na mwanaume mwingine unapata kichaa
 
Ushirikina huo!!!
Wanaiheria wanayo mbaya zaidi... Kuna kabila ukilala na mke wa mtu unakufa!!! Wakeza watu wanaogopwa kama ukoma... Wengine mke wa mtu ukilala na mwanaume mwingine unapata kichaa
kweli kabisa Mkuu,nami naamini ni ushirikina huo!!!
 
Habari?

Hivi kitendo hiki cha watu kulana mpaka kunatiana linasababishwa na nini? Maana huku kwetu tumezoea kuona mbwa zikikabiriana na janga hilo, sasa hii ya partners people kunatiana sijui inakaaje wapendwa.

Nadhani nanyi si wageni na mambo haya kuyasikia, tena cha kushangaza huwatokea sana cheaters katika gest mbalimbali, mke mtu au mume mtu, yaan wanakuwa full kidogodogo.

Nini tatizo?
Hahaahaa... TY mambo..

Umepata majibu..
 
Mambo ya kimazingara hayo, ila ki sayansi/ kiuhalisia hamna hicho kitu hata mfanye masaa 10 mfululizo
 
Duu! mkuu,kwenye zama hizi ambazo video zinasambaa kabisa kuonyesha wanawake na wanaume wananatana bado huamini katika kunatana,labda useme hujui sababu lakini siyokusema haijawahitokea,labda kama umekuja sasa hivi duniani.
Ni kweli. Mi nina hata video ya jamaa Kenya ambao polisis ilibidi waingilie kati na kushindwa. Mpaka aliitwa na mchungaji. Ila waliweza kutoka baada ya ridhaa ya mume wa mke kwa ahadi ya pesa.
 
Habari?

Hivi kitendo hiki cha watu kulana mpaka kunatiana linasababishwa na nini? Maana huku kwetu tumezoea kuona mbwa zikikabiriana na janga hilo, sasa hii ya partners people kunatiana sijui inakaaje wapendwa.

Nadhani nanyi si wageni na mambo haya kuyasikia, tena cha kushangaza huwatokea sana cheaters katika gest mbalimbali, mke mtu au mume mtu, yaan wanakuwa full kidogodogo.

Nini tatizo?
Duuh
 
Back
Top Bottom