Hivi tatizo la 'kunatana' wakati wa kufanya mapenzi linasababishwa na nini?

Hivi tatizo la 'kunatana' wakati wa kufanya mapenzi linasababishwa na nini?

Kunatana wakati wa tendo la ngono kunaelezeka kusayansi. Kwa kiingereza kunaitwa penis captivus. As the name implies, penis captivus occurs when a man's penis gets "stuck" in a woman's vagina. This is extremely rare in humans (more common in some animals) and usually lasts only a few seconds. But it can happen. It's believed this phenomena may be caused by contractions of a woman's muscles during orgasm. Asanteni
Asante sana,b blessed
 
Hiyo hali inaitwa Penis Captivus.

Inatokea kwa nadra sana. Wakati wa sex misuli ya uke inajibana hali inayosababisha uume kushindwa kutoka.

Misuli ya uke ikitulia mwanaume ataweza kutoka.

Only feed your brain with informations from genuine sources. Don't allow yourself being mislead by informations which have no scientific sources.
Pumba tu umeandika hapa, yaan hiyo misuli inasubiri mke/mume wa mtu tu?
 
We jamaa kamwe huwezi kuelewa sababu ubongo wako umekwisha ganda

Nawaonea huruma wanaokutegemea kimawazo hasa wale wadogo kiumri sababu utawarithisha mawazo yako ambayo hayana tija, yakishirikina etc
Bashite kingine hili la kukariri umedandia uzee, Dandia dushee utolowe marinda
 
Hiyo hali inaitwa Penis Captivus.

Inatokea kwa nadra sana. Wakati wa sex misuli ya uke inajibana hali inayosababisha uume kushindwa kutoka.

Misuli ya uke ikitulia mwanaume ataweza kutoka.

Only feed your brain with informations from genuine sources. Don't allow yourself being mislead by informations which have no scientific sources.
Jidanganyeni tu! mkikamatika mtatafuta hizo scientific sources na hazitasaidia, siku hiyo mzizi utapata jina mjini...
 
Hilo kufuli noma sana a,k,a viro,

Hii ni njia nzuri sana kutokomeza baadhi ya magonjwa yanayosababishwa na watu kujamiiana hovyo (ukimwi) na wapenzi wengi wengi, pia inafanya watu waheshimu ndoa zao, tukiona inafaa basi tuipitishe kisheria watu wakioana tu wanawekeana hayo ma tego , hakuna kutoka nje ya ndoa, hata ukimwi utapungua kwakweli,

Africa tuna science nzuri sana kijamii , kiuchumi na kisiasa, sema tu ndio hivyo u magharibi umetuzidi sana
Naunga mkono hoja
 
Wewe utakuwa jinga zaidi ya nilivyofikiri awali.

Pia nimegundua wewe ni "toto".

How old are you?

Past papers na Necta mimi zinanihusu nini?

Hauhitaji uwe na degree ya science rocket uelewe umuhimu wa science kwa maendeleo ya dunia hii.

Now I'm done with you. I won't respond to your stupidity
Sasa wewe mwelewa wa kukariri sisi tunakupa fact za Africa wewe unatuletea mambo ya kwenye maandishi ya kipuuzi . Utamaduni wetu ndio huyu sio kukariri kariri alafu unajiita mwelewa au mwelewa wa Inyee
Kunatana kupobila ni kitu cha kawaida sababu ute te unakuwa umekauka! Siku mlainishe shemeji kisha ukiwa ndani hakikisha unasugua mpaka ute mweupe anatoa kisha usichomoe mashine ila potezea mpaka apoteze stimu huku wewe uko ndani, ule ute weupe utageuga "gundi".

Kuna mchepukaji mmoja waliwai natana .mpaja wakapelekwa polisi na kuchunguzwa kwenye hospt ya mbeya.
Jamaa waliwekewa tego la hatari.
 
Kunatana wakati wa tendo la ngono kunaelezeka kusayansi. Kwa kiingereza kunaitwa penis captivus. As the name implies, penis captivus occurs when a man's penis gets "stuck" in a woman's vagina. This is extremely rare in humans (more common in some animals) and usually lasts only a few seconds. But it can happen. It's believed this phenomena may be caused by contractions of a woman's muscles during orgasm. Asanteni
Hiyo ya kisayansi watu wanagandana kwa seconds! Kijadi hata mwaka, kama unapinga jaribu ukamatike...
 
Siko hapa kubishana na yeyote. Ukiamua kupuuza maelezo yanayopatana na akili (science) na kuamua "kuamini" upuuzi hiyo ni juu yako tu.

Nafahamu watu wetu wengi wamefungwa na "mafundisho" ya kijinga kabisa na bado hawapo tayari kutoka kwenye minyororo ya utumwa.

Kuamini uchawi/ushirikina ni mental disorders.

Tupo 21st century tunashuhudia artificial intelligence katika science discoveries lakini ajabu watu bado wanadanganyika na ushirikina.

Pole sana ndugu
Ninyi wanasayansi kelele nyiiiingi wakati mnababaisha tu! Mimi nimewadharau kabisa tangu mliposhindwa kuipata ndege ya Malaysia (tena katika hii hii 21st Century!!), hata kwenye vingine siwaamini kabisa...
 
Sasa wewe mwelewa wa kukariri sisi tunakupa fact za Africa wewe unatuletea mambo ya kwenye maandishi ya kipuuzi . Utamaduni wetu ndio huyu sio kukariri kariri alafu unajiita mwelewa au mwelewa wa Inyee
Ni kwamba unasimuliwa, wenzio tuko ngomani tunacheza ngoma wewe unaangalia ngoma!! Usilishwe kila kitu. Kunatana kupo ila mmekuwa brainwashed kwamba ni sababu ya kitu fulani kumbe sio. Kama umenisoma comment zangu hapo juu utakuwa umeelewa!
Ukikamatwa na mtu wa mtu na wakakuamuru utulie hivyo hivyobuume wako ukiwa ndani ile hofu ya wewe na yeye mwanamke inapelekea ute kuganda fasta nankukunatisha ndani kwa ndani!
Hutako endelea kulishwa na utamaduni wa kiafrika.
 
You must be so ignorant old man.

Science is a body of knowledge which have been proved to be scientifically correct.

Wewe unasema uchawi/ushirikina ni science ukitakiwa utoe uthibitisho utaweza?

Hapo ulipo unatumia artificial intelligence (simu yako ya mkononi) lakini bado unaongea ujinga mwingi.

Pole sana.
uzungu mwiiingi kwani huwezi kuandika kiswahili tu ukaeleweka? au ukiandika kizungu ndio una thibitisha usomi wako
 
Back
Top Bottom